Sayansi hizi za uswahilini zijamashiko au ni Mungu tu anatubeba...

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,697
-Jiwe linalonyonya sumu ya nyoka....
Hapa ni pale mtu anapoumwa nyoka eti Kuna jiwe maalumu linalonyonya hiyo sumu.
Tunaenda mbali zaidi eti ukiliweka kwenye kikombe cha maziwa kama demo linanyonya yote...

-mpapai unaufunga gunzi la muhindi ili usiwe dume ukashindwa kutoa mapapai
-mwanamke akichimba dawa unachomeka nyoya la ndege anaitwa dodolima basi huyo Mwana wa kike lazima akupende :p:D


Hizi sayansi jadi zinaukweli ndani yake au Mungu anatubeba tu...
 
-Jiwe linalonyonya sumu ya nyoka....
Hapa ni pale mtu anapoumwa nyoka eti Kuna jiwe maalumu linalonyonya hiyo sumu.
Tunaenda mbali zaidi eti ukiliweka kwenye kikombe cha maziwa kama demo linanyonya yote...

-mpapai unaufunga gunzi la muhindi ili usiwe dume ukashindwa kutoa mapapai


Hizi sayansi jadi zinaukweli ndani yake au Mungu anatubeba tu...
Kuna ile eti wanasema ukichanjia utomvu wa mpapai kwenye mpwipwi/dick kadri mpapai unavyokua na mpwipwi/dick nao unakua.
 
-Jiwe linalonyonya sumu ya nyoka....
Hapa ni pale mtu anapoumwa nyoka eti Kuna jiwe maalumu linalonyonya hiyo sumu.
Tunaenda mbali zaidi eti ukiliweka kwenye kikombe cha maziwa kama demo linanyonya yote...

-mpapai unaufunga gunzi la muhindi ili usiwe dume ukashindwa kutoa mapapai


Hizi sayansi jadi zinaukweli ndani yake au Mungu anatubeba tu...

Nakuongezea:
  • Ukimwona nyoka jishike wrist au maziwa (nyonyo) kwa nguvu, hawezi kutembea
  • Ukipata vidonda kwenye koo, nywea maji kwenye ungo, kufika asubuhi hamna vidonda tena
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom