Mimimollel
Member
- Mar 9, 2024
- 8
- 6
Wana JF nina huzuni, tena sana, kwanini kwenye nchi yenye watu wazima tunataka kuamini na kugundua zaidi mapungufu, kasoro na hitilafu za MUUNGANO WETU matukufu badala ya kutafuta namna ya kuutia cement?
Kwanini tusifikiri mwaka mmoja bila MUUNGANO unaweza kutupa hasara gani? Naogopa kufikiri nini kipo nje ya MUUNGANO huu hadi kabisa duniani, MUUNGANO wa kiungwana, MUUNGANO wa utu, MUUNGANO ambao ikitokea UNA SABABU NITAFURAHI, KAMA HAUNA SABABU MIMI HUO NDO UHODARI HUU, TANZANIA NI KWETU.
Kwanini tusifikiri mwaka mmoja bila MUUNGANO unaweza kutupa hasara gani? Naogopa kufikiri nini kipo nje ya MUUNGANO huu hadi kabisa duniani, MUUNGANO wa kiungwana, MUUNGANO wa utu, MUUNGANO ambao ikitokea UNA SABABU NITAFURAHI, KAMA HAUNA SABABU MIMI HUO NDO UHODARI HUU, TANZANIA NI KWETU.