Naomba uzingatie kuwa: Mtu akiwa na cheti cha kuzaliwa cha Tanzania, lakini akawa na uraia wa zaidi ya nchi moja( kwa kurithi, kuzaliwa au kusailiwa( naturalisation), endapo atafika miaka 18 asipokanusha uraia wa nchi nyingine automatically uraia wake wa Tanzania unafutika.
Kwa hiyo Bashe na Riz picha haziendii??? hapo jibu muulizee masauni!!! Duh huyu Riz sasa naona kapitiliza kwa kumtumia baba yake kuendelezaa siasa za chuki. kaanza na masauni, kafuata Kifukwe yanga, sasa bashe wamemaliza jamani tujuzenii nani zengwe la Riz/JK linafuaaaataaa.....
kuna siku tutachagua kiongozi ambaye ni raia sa iraq, pakistani Rwanda hata kenya bila kujua. sijui tutafunguka macho lini? kaazi kwelikweli. siku zote walikuwa wapi hadi anakuja kugombea na kushinda ndo wanakuja na suala la uraia, tz hatuko makini kabisa, hakuna cha usalama wa taifa wala usalama wa nani.
Tz yaani hatuko serious katika kila kitu,one day itakuja kutucost.
Chiligati anasema BASHE alizaliwa na kusoma apa TZ ila wazazi wake ni wasomali na kwa sasa washachukua uraia.
Civics yangu inaniambia that is CITIZEN SHIP BY BIRTH JAMANI
Nipe tafisir fasaha hapo mkuu,
Mfano Bashe kazaliwa TZ na elimu yake hapa hapa kaipata na mambomengine mpaka kaingia ndani ya CCM.
Yeye Anakwamia wapi kutothibitishwa sio mtanzaniaaa?? au wazazi wake ndio wanamfanya asiwe mtanzania? je haya makosa ni ya nani wazazi au serikali husikaa?
Kama wakati anazaliwa wazazi wake hawakua Watanzania, basi hilo hapo juu hali-apply, anapaswa kuomba uraia.
Hakutakiwa kuomba alitakiwa akiattain 18 akane uraia wa nchi nyingine na kula kiapo cha utiifu kwa nchi hii kama hakufanya hivyo basi anahesabika ni raia wa nchi nyingine
....Mungai....sio Kikuyu hii mutu
Nataka kujua siri ya hizi nguvu za ajabu za Bw. Ridhiwan Kikwete
- Kumuangusha Masauni kutoka kwenye Uenyekiti wa UVCCM kwa kashfa ya kughushi umri
- Kumuangusha hasimu wake mkubwa Bw. Bashe kwenye ubunge kupitia Kamati kuu kwa zengwe la uraia
- Kumuangusha Kifukwe kutoka kwenye Uongozi wa Yanga
- Kuongoza kundi la vijana kutafuta wadhamini wa Mgombea Urais kupitia CCM ambae ni baba yake.
Huyu dogo naanza kumtizama kwa jicho la Tahadhari...!
No, usiwe na wasiwasi; ni kwa sababu baba yake ni Rais wa Tanzania; mwisho wa nguvu yake ni ama mwezi Oktoba mwaka hjuu, mwezi Otober mwak 2015. Labda kabla ya hapo baba yake aamua kumpa madaraka makubwa kama ya Jaji wa mahakama kuu, ambayo hayataweza kutenguliwa na wanaomfuata.
Shauri mahakamani anatafuta nini labda kama anataka NEC CCM imrudishie ushindi wake wa kura za maoni na vyeo vyake alivyokuwa navyo lakini kama anataka uraia ni kiasi cha kuukana uraia wa baba yake tu haichukui muda.Wakuu, Mimi simjui Bw. Bashe, likini kutokana na niliyosoma hapa huyu mh. alikumbatia nyadhifa kadhaa katika Serekali na Chama ambacho sasa hivi Kinamtema. Naamini Bashe alikuwa akisafiri nje ya nchi kutuwakilisha au hata kwa shughuli zake mwenyewe, na bila shaka kama mtu yeyote hana budi awe na Hati ya kusafiria (Pasport)na bila shaka Bashe ana Pasport ya Tanzania. Je aliipataje kama si Mtanzania? Taratibu za Kupata pasport za nchi yeyote ni lazima uthibitishe uraia wako. Na Afisa wa Pasi akiridhika na maombi hayo na kuwa hukudanganya ataruhusu upewe hati hiyo. Ikiwa Bashe anayo pasport ya tanzania na kwa ushahidi mwingine alionao ningemshauri apeleke shauri hili Mahakamani.
Kwa hiyo Bashe na Riz picha haziendii??? hapo jibu muulizee masauni!!! Duh huyu Riz sasa naona kapitiliza kwa kumtumia baba yake kuendelezaa siasa za chuki. kaanza na masauni, kafuata Kifukwe yanga, sasa bashe wamemaliza jamani tujuzenii nani zengwe la Riz/JK linafuaaaataaa.....
Nataka kujua siri ya hizi nguvu za ajabu za Bw. Ridhiwan Kikwete
- Kumuangusha Masauni kutoka kwenye Uenyekiti wa UVCCM kwa kashfa ya kughushi umri
- Kumuangusha hasimu wake mkubwa Bw. Bashe kwenye ubunge kupitia Kamati kuu kwa zengwe la uraia
- Kumuangusha Kifukwe kutoka kwenye Uongozi wa Yanga
- Kuongoza kundi la vijana kutafuta wadhamini wa Mgombea Urais kupitia CCM ambae ni baba yake.
Huyu dogo naanza kumtizama kwa jicho la Tahadhari...!
Mwenye kujua maana haambiwi tazama..Labda hawa vigezo siju!
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru (kushoto), akibadilishana mawazo na katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Chiligati wakati wa mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC) wa mchakato wa kupitisha majina ya wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani wa chama hicho, mjini Dodoma.Katikati ni Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa.