Huwa anasema hizo ndo silaha zakeNice music! Awesome video, Si mshabiki wa Kiba but uwezo wake unaonekana mwishoni mwa verse yake, ule Ni ujuzi Ni zaidi ya kuwa mwimbaji kufanya vile, lazima uwe Na kipaji cha sauti!
Hatwaaaaaaaaari..daaaah kiba kaua
Woyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo....Ewaaaa!!! hapa sasa naweka ushabiki pembeni na kukubali kile kilichofanywa na Kiba....hapa no ubishi King umeuaaaaa....
Hata Mimi hajawahi..King Kiba hajawahi kuniangusha.
Saluuuuuuuuuuute Hom boySiku zote huwa naamini #KingKiba huwa hakosei, salute kwa home boy Kiba.
Bora wewe mchele, wote hatuwezi kuwa Kama vile wewe unnavyotaka!Pumba tupu
EndeleaBora wewe mchele, wote hatuwezi kuwa Kama vile wewe unnavyotaka!
Mkuu muziki wa Leo Ni zaidi ya kuimba, Audio kali, viende sawa Na video kali coz ndo muziki unataka, Joh makini nje ya Bongo yupo juu kuliko Fid, ni baada tu ya video yake kali alofanya South, pamoja na ile alofanya na AKA, but nyumbani tunasema Fid Ni level nyingine, sasa Fid nae ndo kaamka kufanya video kali! Hivi ndo tunataka!Kwani kiba ni bongo movie zungumzia nyimbo yaani uimbaji thn ndo tuje kwnye video Mzee