bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 464
Aisee imenibidi nitafute majibu ya hichi kitu kilicho kua kina nipa shida kujua huwa ni nini shida?
Unafanya mapenzi na mwanamke afu una sikia sauti ya kujampa/ushuzi ila hakuna harufu yoyote ile isipo kua hii sauti.
Kumbe bana ni hali ya kawaida kabisa hutokea pale ambapo hewa hujaa ndani ya uke naku penya kutoka nje ya uke. Ndio hii sauti husikika.
Nilikua na wasiwasi na hii sauti ila sasa nikula tendo bila wasi.
Una mwenza mwenye kutoa hii sauti? Mwambie asiwe na shida ni hali ya kawaida kama alikua ana kuonea aibu wewe kidume au ina mkosesha amani.
Unafanya mapenzi na mwanamke afu una sikia sauti ya kujampa/ushuzi ila hakuna harufu yoyote ile isipo kua hii sauti.
Kumbe bana ni hali ya kawaida kabisa hutokea pale ambapo hewa hujaa ndani ya uke naku penya kutoka nje ya uke. Ndio hii sauti husikika.
Nilikua na wasiwasi na hii sauti ila sasa nikula tendo bila wasi.
Una mwenza mwenye kutoa hii sauti? Mwambie asiwe na shida ni hali ya kawaida kama alikua ana kuonea aibu wewe kidume au ina mkosesha amani.