Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mtumieni Makonda kwenyw whatsapp
Watu nyoyo zinawaruka bila ridhaa yao.
jamani jamani jamani.....
Tumsifu Yesu Kristu mileleBWANA ASHUKURIWE MILELE NA MILELE
LISSU BADO NI YULE YULE
SAUTI NI ILE ILE
tunajua inawauma sana sema jitayarisheni kisaikolojia president lissu is stonger to tell the taleAkijamba HABARI Akihara HABARI...mmempiga risasi wenyewe then mnataka kututoa kwenye reli....NGOSHA KAZA ZAIDI
Hoja zipi zisizoeleweka ameshawahi kuzungumza? Zipi kuhusu ndege yetu, zipi kuhusu madininyetu, zipi kuhusu bonde la huko malawi , zipi kuhusu katiba mpya, zipi kuhusu muungno/kibanda maiti, zipi zile za kwenye mawio, zipi kuhusu Udicteta uchwara? Twambie hoja zipi zisizoeleweka alizowahi kusema lisu twambie nasi tukwambie, tena tutakwambia na maudhui yake kama hujazielewa upate kuelewa! Hakika ccm ni makuwadi wa soko huria. RIP mwal chachageMungu akamilishe uponyaji wake sawasawa na sala za watanzania.
ili akitoa hoja zisizoeleweka tumpinge akiwa mzima amekamilika.
Mkuu imebidi ujikaze kisabunipole sana tundu lisu
OkUmekosea Mkuu kabla ya CCM kuna Mungu na Tanzania na watanzania
Ameona ni watu wa karibu hata familia yake hajataja.Acha ukengeufuKweli kabisa, ktk shukrani hajawataja chadema!! Maajabu haya.
Jitu la ajabu ww,so unafikir ulimaliza kazi hawez kuongeaHiyo sauti sio Ya Lisu kabisa kuna mtu kaigiza Wataalamu wa sauti chukueni sauti yoyote Ya Lisu linganisheni na hii. Hii ni fake 100 percent
Hata kamera ya kwenye nyumba ya Waziri waliitoa wenyewe? Angalia hasije "akakukaza" zaidi.Akijamba HABARI Akihara HABARI...mmempiga risasi wenyewe then mnataka kututoa kwenye reli....NGOSHA KAZA ZAIDI
Umemaanisha Mange Kimambi??Nani kama Mungi!?
Siku nzuri sana kwa vihere here na makuwadi !Leo ni siku mbaya sana kwa cowards wote na vibaraka wao.
Siku nzuri sana kwa vihere here na makuwadi !Leo ni siku mbaya sana kwa cowards wote na vibaraka wao.
Hakuna namna, maana uovu umeshindwaTeh Teh Mkuu mimi Nasukuma Lite Hapa