nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
....watu wa usalama wa bongo walivyo feki wanaweza wakaamua kumkamua matiti sarungi na hata kumpiga miti ili awape contact za kigogo..
Kweli.. anawapoteza maboya maana walisema ni mtu wa Iringa.. sasa anacheza mule muleHizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya
KIGOGO siyo wakumchukulia Pia.
Leo Kule kigoma ndege ilivyotua wakaweka KIGINGI (KIGOGO) Kwenye tairi za ndege isirudi nyuma wala mbele.
KIGOGO kawa mbogo kwanini iwe hivyo.Nahisi alisafiri na ndege hiyo
Mwenye file mirembe alinshindwa,itakua huyu mlegeza macho na kula urojoNae awe makini
Asidhani kwa Samia wamelala
Nimewahi kuwaza hili.Ila sidhani huyo aliyeongea ndio anaye twiti. Yule wa twita uandishi wake na huyo aliyeongea ni kariba tofauti kabisa. Sauti inaonesha ni mtu mzima lakini yule wa twita ni mid 40s tena inaonesha ni born town si huyo aliyeongea.
All in all ameongea facts tupu! Kuna ukichaa tunahitaji kukomboa hili Taifa.
Zipo nyingi mkuu ni ipi Kati yake?
Alifilimbwa hivyo ana hasira.Aliwahi kuandika kwamba ugomvi wake na dhalimu mwendazake ná Serikali yake haramu ni kuhusu nyumba yake ya thamani kubwa iliyokumbwa na Bomoa Bomoa ya kidikteta.
Kama ni pitch ina namba,ina positive na negative.Mkuu usimchukulie poa ,we unadhani ile sauti hakuna software yoyote ?unajuaje ni sauti yake halisi halafu aiachie
....watu wa usalama wa bongo walivyo feki wanaweza wakaamua kumkamua matiti sarungi na hata kumpiga miti ili awape contact za kigogo..
Kama ni pitch ina namba,ina positive na negative.
Ikirekodiwa positive,inarudishwa negative kupata halisi na kinyume chake.
Zipo app nyingi sana kama unavyosema, ngoja niingie play store nione ipi inayofaa, halafu nitakuambia.Zipo nyingi mkuu ni ipi Kati yake?
Nitashukuru mkuu maana jana nimejaribu naona manyota nyota tuZipo app nyingi sana kama unavyosema, ngoja niingie play store nione ipi inayofaa, halafu nitakuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app