Sauti ya KIGOGO katika Space ya Maria Sarungi ina lafudhi ya Iringa to Mbeya

....watu wa usalama wa bongo walivyo feki wanaweza wakaamua kumkamua matiti sarungi na hata kumpiga miti ili awape contact za kigogo..
 
Hizi simu za kisasa unaweza ukabadilisha sauti ili utimize lengo lako! Kwahyo inawezekana katumia teknolojia vizuri ili kutupoteza maboya
Kweli.. anawapoteza maboya maana walisema ni mtu wa Iringa.. sasa anacheza mule mule
 
Kwa kuchangia kidogo, kiukweli watu wa intelligence wanaweza kujua material yoyote kama picha, video au sauti ambayo imechezewa kutoka uhalisia wake, hata ikitengenezwa kwa utaalamu gani. Na kwenye sauti nadhani unaweza hata kureverse ili kutafuta uhalisia wake.

Mtazamo wangu wa muda mrefu ni kuwa, Kigogo ni wao na anachokifanya kina baraka zao. Nitaishia hapo kwa leo nisije nikasema yasiyotakiwa kusemwa.
 
KIGOGO siyo wakumchukulia Pia.
Leo Kule kigoma ndege ilivyotua wakaweka KIGINGI (KIGOGO) Kwenye tairi za ndege isirudi nyuma wala mbele.
KIGOGO kawa mbogo kwanini iwe hivyo.Nahisi alisafiri na ndege hiyo
 

Attachments

  • VID-20210725-WA0212.mp4
    373.3 KB
kigogo ni mjinga sana halafu anaamini ana akili nyingi kumbe mbumbumbu kabisa. ana hasira za kufukuzwa utaifa na kushindwa kuzika baba yake kwasababu ya usaliti.
 
Ila sidhani huyo aliyeongea ndio anaye twiti. Yule wa twita uandishi wake na huyo aliyeongea ni kariba tofauti kabisa. Sauti inaonesha ni mtu mzima lakini yule wa twita ni mid 40s tena inaonesha ni born town si huyo aliyeongea.

All in all ameongea facts tupu! Kuna ukichaa tunahitaji kukomboa hili Taifa.
Nimewahi kuwaza hili.
 
Mkuu usimchukulie poa ,we unadhani ile sauti hakuna software yoyote ?unajuaje ni sauti yake halisi halafu aiachie
Kama ni pitch ina namba,ina positive na negative.

Ikirekodiwa positive,inarudishwa negative kupata halisi na kinyume chake.
 
Back
Top Bottom