Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kila kitu kina taaluma yake sasa jana nilikua nasikiliza kipindi cha michezo 100.5 times fm.Kuna dada mmoja anaita Zainabu Kilwale ana sauti mbaya kama teja la kike vile.
Mimi naona hizi sauti zinafanya hata kile kinachotangaza kionekane hakina maana yoyote.
Kuna baadhi ya watangazi keli ukiawasikia unasikia raha na faraja na unafuatilia ka umakini kile kinachotangazwa.Mfano Milad Ayo,kijana ana sauti ya utangazaji haswa.
Mimi naona hizi sauti zinafanya hata kile kinachotangaza kionekane hakina maana yoyote.
Kuna baadhi ya watangazi keli ukiawasikia unasikia raha na faraja na unafuatilia ka umakini kile kinachotangazwa.Mfano Milad Ayo,kijana ana sauti ya utangazaji haswa.