Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Tanzania (SAUT), Mwanza kimewafuta kazi wahadhiri watatu kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ya ngono na wanafunzi kwa nia ya kuwapa upendeleo kwenye mitihani. Chuo hicho kimesema vitendo hivyo havikubaliki na kuwataka wanafunzi kuendelea kuvifichua.
Chanzo: Swahilitimes
Kuna Vyuo kama viwili hapa hapa Jijini Dar es Salaam kama Uongozi Wao ukiiga kilichofanywa na SAUT hakuna Mhadhiri wa Kiume atakayebakia.
Chanzo: Swahilitimes
Kuna Vyuo kama viwili hapa hapa Jijini Dar es Salaam kama Uongozi Wao ukiiga kilichofanywa na SAUT hakuna Mhadhiri wa Kiume atakayebakia.