mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Utaratibu wa kulipa ada kila mwanafunzi anaujua..unaingia osim yako unagenerate control number kwa kila aina ya malipo unayohitajika kulipa...na kiasi cha kulipa huwa kinaonekana huko..Kwanini usitolewe utaratibu wanafunzi wote wakajua pesa inakwenda wapi kuliko mtu mmoja mmoja kwenda kwenda kwa bursar? Na vipi kuhusu wale wasio jua kuhusu hilo? Na pesa wanakuwa tayali washa saini zinakwenda wapi?