SAUT Mwanza hakina sifa tena ya kuitwa Chuo Kikuu, Serikali kitazameni upya

sema neno

Member
Feb 2, 2019
8
14
Madudu yanayofanyika katika chuo hiki yamekithiri katika mwaka wa masomo 2017/018. Baada ya kubadilisha system ya kuhifadhia matokeo awali SIMS na kuleta OSIM imeleta vilio kwa wanafunzi wengi huku wengine wakishindwa kugraduate na wengine kushindwa kupata fedha zao za kujikimu kutokana na matokeo kutoonekana.

Kuna ambao hadi sasa wanaingia madarasani kusoma lakini matokeo yao mwaka wa masomo uliopita hawajayaona. Wanapofuatilia hakuna majibu ya kuridhisha juu ya utatuzi wa tatizo hili na watumishi wa department ya IT wamekuwa kama miungu watu hakuna msaada wowote wanaoweza kuutoa.

Continuous ambao ni wananufaika wa mkopo wamekaa tokea chuo kifunguliwe bila kupewa hadi sasa semister inapoelekea kuisha ndo wanapewa tena kwa mafungu sababu ikiwa hii system kutoonyesha matokeo ya watu watu yapelekwe board ya mikopo.

Na pasipo kujali kuwa sababu za watu hawa kucheleweshewa pesa zao ni wao, wanaweka penalty tena kwa anayechelewa kulipa Ada. Jamani kuna watu wanatoka familia duni wanategemea Boom ndo walipe Ada. Unamcheleweshea pesa yake kwa uzembe halafu unampiga penalty ya laki moja kwa kuchelewa kulipa ada! Hii sio sawa hata kidogo, watoto wa masikni wanasoma kwa mateso sana hapa SAUT.

Kuna waliofanya supplimentary na ajabu matokeo yao yakarudi kama mwanzo yalivyokuwa ina maana hakuna mabadiliko yoyote hata baadhi wameshindwa kuhitimu sababu ya hii system. Ukimfuata mwalimu wa somo anakuonyesha hadi booklet kuwa ulifaulu lakini system inaonyesha hujafaulu na mwalimu haruhusiwi kuingilia kwa lolote atakwambia kuna examinationa officers wanafanya kazi hiyo.

Kuna watu wanatazamia kufanya mtihani wa semester ya kwanza mwaka huu wa masomo wakiwa hawajui matokeo ya semester iliyopita. Hapo yakitolewa hayo matokeo ukiwa umefeli unajikuta una mizigo kibao huku wenzio walikwishafanya supplimentary zake kitambo.

Kuna ambaye jina lake lilitoka kwenye kitabu cha graduates na akafanya hadi sherehe ajabu kuja kufuata cheti anaambiwa ana supplimentary ya mwaka wa pili. Inawezekana vipi mtu asome hadi mwaka wa tatu asijue kuwa ana kimeo mwaka wa pili?

Inaumiza sana na kama Serikali italifumbia hili macho bado kuna tatizo kubwa sana maana hata waliopo mwaka wa tatu wanaenda kufanya mitihani ya semester ya kwanza ikiwa matokeo yao ya mwaka wa pili hawajayaona na huku kukiwa na sintofahamu kuna uwezekano mwisho wake wataambiwa warudie mitihani hiyo tena kwa kulipia kila mtihani elfu 75000.

Kwa leo naishia hapa.
 
Mimi mwenyewe nimepigwa carry-over semester ya mwisho mwaka wa tatu. Nimeona niifanye tu maana nimefuatilia record za matokeo yangu bila mafanikio. Unalipia 6000 za matokeo kila mwaka mwisho wa semester unapewa matokeo ya semester moja. Ni usanii juu ya usanii. Tuliokuwa tugraduate mwezi wa 12 mwaka jana tukutane March kuanza upya semester ya pili mwaka wa tatu. Hakuna namna.
 
Madudu yanayofanyika katika chuo hiki yamekithiri katika mwaka wa masomo 2017/018. Baada ya kubadilisha system ya kuhifadhia matokeo awali SIMS na kuleta OSIM imeleta vilio kwa wanafunzi wengi huku wengine wakishindwa kugraduate na wengine kushindwa kupata fedha zao za kujikimu kutokana na matokeo kutoonekana.

Kuna ambao hadi sasa wanaingia madarasani kusoma lakini matokeo yao mwaka wa masomo uliopita hawajayaona. Wanapofuatilia hakuna majibu ya kuridhisha juu ya utatuzi wa tatizo hili na watumishi wa department ya IT wamekuwa kama miungu watu hakuna msaada wowote wanaoweza kuutoa.

Continuous ambao ni wananufaika wa mkopo wamekaa tokea chuo kifunguliwe bila kupewa hadi sasa semister inapoelekea kuisha ndo wanapewa tena kwa mafungu sababu ikiwa hii system kutoonyesha matokeo ya watu watu yapelekwe board ya mikopo.

Na pasipo kujali kuwa sababu za watu hawa kucheleweshewa pesa zao ni wao, wanaweka penalty tena kwa anayechelewa kulipa Ada. Jamani kuna watu wanatoka familia duni wanategemea Boom ndo walipe Ada. Unamcheleweshea pesa yake kwa uzembe halafu unampiga penalty ya laki moja kwa kuchelewa kulipa ada! Hii sio sawa hata kidogo, watoto wa masikni wanasoma kwa mateso sana hapa SAUT.

Kuna waliofanya supplimentary na ajabu matokeo yao yakarudi kama mwanzo yalivyokuwa ina maana hakuna mabadiliko yoyote hata baadhi wameshindwa kuhitimu sababu ya hii system. Ukimfuata mwalimu wa somo anakuonyesha hadi booklet kuwa ulifaulu lakini system inaonyesha hujafaulu na mwalimu haruhusiwi kuingilia kwa lolote atakwambia kuna examinationa officers wanafanya kazi hiyo.

Kuna watu wanatazamia kufanya mtihani wa semester ya kwanza mwaka huu wa masomo wakiwa hawajui matokeo ya semester iliyopita. Hapo yakitolewa hayo matokeo ukiwa umefeli unajikuta una mizigo kibao huku wenzio walikwishafanya supplimentary zake kitambo.

Kuna ambaye jina lake lilitoka kwenye kitabu cha graduates na akafanya hadi sherehe ajabu kuja kufuata cheti anaambiwa ana supplimentary ya mwaka wa pili. Inawezekana vipi mtu asome hadi mwaka wa tatu asijue kuwa ana kimeo mwaka wa pili?

Inaumiza sana na kama Serikali italifumbia hili macho bado kuna tatizo kubwa sana maana hata waliopo mwaka wa tatu wanaenda kufanya mitihani ya semester ya kwanza ikiwa matokeo yao ya mwaka wa pili hawajayaona na huku kukiwa na sintofahamu kuna uwezekano mwisho wake wataambiwa warudie mitihani hiyo tena kwa kulipia kila mtihani elfu 75000.

Kwa leo naishia hapa.
Kuna mdau mmoja kwa jina la gentamycin juzi alikisifia sana chuo hiki,aje hapa aone wenzake wanavyo lia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madudu yanayofanyika katika chuo hiki yamekithiri katika mwaka wa masomo 2017/018. Baada ya kubadilisha system ya kuhifadhia matokeo awali SIMS na kuleta OSIM imeleta vilio kwa wanafunzi wengi huku wengine wakishindwa kugraduate na wengine kushindwa kupata fedha zao za kujikimu kutokana na matokeo kutoonekana.

Kuna ambao hadi sasa wanaingia madarasani kusoma lakini matokeo yao mwaka wa masomo uliopita hawajayaona. Wanapofuatilia hakuna majibu ya kuridhisha juu ya utatuzi wa tatizo hili na watumishi wa department ya IT wamekuwa kama miungu watu hakuna msaada wowote wanaoweza kuutoa.

Continuous ambao ni wananufaika wa mkopo wamekaa tokea chuo kifunguliwe bila kupewa hadi sasa semister inapoelekea kuisha ndo wanapewa tena kwa mafungu sababu ikiwa hii system kutoonyesha matokeo ya watu watu yapelekwe board ya mikopo.

Na pasipo kujali kuwa sababu za watu hawa kucheleweshewa pesa zao ni wao, wanaweka penalty tena kwa anayechelewa kulipa Ada. Jamani kuna watu wanatoka familia duni wanategemea Boom ndo walipe Ada. Unamcheleweshea pesa yake kwa uzembe halafu unampiga penalty ya laki moja kwa kuchelewa kulipa ada! Hii sio sawa hata kidogo, watoto wa masikni wanasoma kwa mateso sana hapa SAUT.

Kuna waliofanya supplimentary na ajabu matokeo yao yakarudi kama mwanzo yalivyokuwa ina maana hakuna mabadiliko yoyote hata baadhi wameshindwa kuhitimu sababu ya hii system. Ukimfuata mwalimu wa somo anakuonyesha hadi booklet kuwa ulifaulu lakini system inaonyesha hujafaulu na mwalimu haruhusiwi kuingilia kwa lolote atakwambia kuna examinationa officers wanafanya kazi hiyo.

Kuna watu wanatazamia kufanya mtihani wa semester ya kwanza mwaka huu wa masomo wakiwa hawajui matokeo ya semester iliyopita. Hapo yakitolewa hayo matokeo ukiwa umefeli unajikuta una mizigo kibao huku wenzio walikwishafanya supplimentary zake kitambo.

Kuna ambaye jina lake lilitoka kwenye kitabu cha graduates na akafanya hadi sherehe ajabu kuja kufuata cheti anaambiwa ana supplimentary ya mwaka wa pili. Inawezekana vipi mtu asome hadi mwaka wa tatu asijue kuwa ana kimeo mwaka wa pili?

Inaumiza sana na kama Serikali italifumbia hili macho bado kuna tatizo kubwa sana maana hata waliopo mwaka wa tatu wanaenda kufanya mitihani ya semester ya kwanza ikiwa matokeo yao ya mwaka wa pili hawajayaona na huku kukiwa na sintofahamu kuna uwezekano mwisho wake wataambiwa warudie mitihani hiyo tena kwa kulipia kila mtihani elfu 75000.

Kwa leo naishia hapa.


Vijana wa siku hizi mnaonekana kulalalmika tu bila sababu na hamuelewi hata mnapeleka vilio vyenu wapi? Hivi kweli ninyi mtaweza kufanya kazi pindi jumuiya hii ya EAC ikianza kufanya kazi?

Je,hamna hata viongozi ambao wanaweza kufuatilia matokeo yenu kwa uongozi wa chuo?

Tatizo la mitihani(Exams System) hilo siyo la kuleta hapa JF na kuilalamikia serikali na kuomba msaada hapa kwenye jukwaa

Nawapa ushauri tu na muufanyie kazi siyo mnakuwa popoma kwa mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wenu na siyo kuisumbua serikali
1.Wote kusanyikeni nendeni kwa msajini wa Chuo na kudai matokeo yenu
2.Kama Msajili ameshindwa ni moja kwa moja kwa huyo Examination Officer
NB;Siyo mgomo bali mnataka matokeo yenu maana mlishafanya mitihani na mnatakiwa kuendelea na mihula mingine TOSHA

Lingine kubwa ni kuelewa kuwa kubadili mfumo wa kutoa matokea haitakiwi kuwaathiri wanafunzi kama inaonekana mfumo una matatizo basi wanaweza kuwapa matokeo kwa mfumo wa zamani wakati wakiendelea kufanyia kazi mfumo mpya wa kansu data

Mkifanya hivyo wote kuanzia asubuhi haitafika jioni matokeo yataonekana na kama hayataonekana basi ujumbe umefika kwa wote wahusika na hizo sijui faini haziwezi kuwepo maana tatizo linajulikana
 
Mbona hii habari ni kama ya UDSM.
Mimi nipo mwaka wa tatu UDSM kila siku nafuatilia matokeo(chanzo ni deni la ada).

Hadi sasa nimewekewa matokeo kozi nne kati ya sita(bado mbili).
Kwenye status inaonyesha nina Carryover mbili wakati hata Sup sikufanya.
 
Angalia pia hapa kuhusu nafasi ya chuo Kitaifa kwa mwaka 2018
1 University of Dar es Salaam Dar es Salaam ...
2 The University of Dodoma Dodoma
3 Sokoine University of Agriculture Morogoro ...
4 Mzumbe University Morogoro
5 Muhimbili University of Health and Allied Sciences Dar es salaam
6 St. Augustine University of Tanzania Mwanza ...
7 Nelson Mandela African Institution of Science and Technology Arusha
8 Ardhi University Dar es Salaam
9 St. Joseph University in Tanzania Mbezi
 
Vijana wa siku hizi mnaonekana kulalalmika tu bila sababu na hamuelewi hata mnapeleka vilio vyenu wapi? Hivi kweli ninyi mtaweza kufanya kazi pindi jumuiya hii ya EAC ikianza kufanya kazi?

Je,hamna hata viongozi ambao wanaweza kufuatilia matokeo yenu kwa uongozi wa chuo?

Tatizo la mitihani(Exams System) hilo siyo la kuleta hapa JF na kuilalamikia serikali na kuomba msaada hapa kwenye jukwaa

Nawapa ushauri tu na muufanyie kazi siyo mnakuwa popoma kwa mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wenu na siyo kuisumbua serikali
1.Wote kusanyikeni nendeni kwa msajini wa Chuo na kudai matokeo yenu
2.Kama Msajili ameshindwa ni moja kwa moja kwa huyo Examination Officer
NB;Siyo mgomo bali mnataka matokeo yenu maana mlishafanya mitihani na mnatakiwa kuendelea na mihula mingine TOSHA

Lingine kubwa ni kuelewa kuwa kubadili mfumo wa kutoa matokea haitakiwi kuwaathiri wanafunzi kama inaonekana mfumo una matatizo basi wanaweza kuwapa matokeo kwa mfumo wa zamani wakati wakiendelea kufanyia kazi mfumo mpya wa kansu data

Mkifanya hivyo wote kuanzia asubuhi haitafika jioni matokeo yataonekana na kama hayataonekana basi ujumbe umefika kwa wote wahusika na hizo sijui faini haziwezi kuwepo maana tatizo linajulikana
Mkuu sio kulalamika mambo yanayoendelea hapa ni unyama sana unaweza jiuliza wafanyakazi wa hiki chuo hawajasoma yaani mtu uzembe wao wa kutokuonyesha matokeo unabebeshwa wewe ajabu booklate zilizotumika mwezi wa saba tu unaambiwa hazipo ludia mtihani dada mmoja kahitimu kabisa na jina kwenye kitabu cha wahitimu likatoka kufata cheti anaambiwa anasupplimentary tena second year kitu ambacho hakiwezekani nani atabeba ghalama zake za kukaa tena mazingira ya chuo kama sio dada zetu kuishia kuwekwa vimada
 
Tumieni uwakilishi wenu kuwaona wahusika. Chuo kina DVC mpya nina hakika hatavumilia jambo kama hilo akitaarifiwa kinacho endelea.
 
Aisee poleni sana. Elimu ya SAUT na vyuo vingine vya kidini imeporomoka sana kwasasa. Kuna kipindi baadhi ya matawi ya SAUTIwafanyakazi walicheleweshewa sana kulipwa hata mishahara yao.

Nadhani SAUT wajipange upya tena, ili waweze kufanya kazi vizuri, maana hata siku zinavyoendelea hata wanafunzi wanapunguza kusoma huko.
 
Si kwamba elimu ni mbovu nafikiri they are the best now in Tanzania kwa sasa hata hao udsm mzumbe na udom wakikutana nao field wanabaki kutoa macho tu,hua tunaona wakija hasa sheria wako vizuri sana mkuu

Kinachosumbua hapa ni system ya matokeo tu
Kuna mdau mmoja kwa jina la gentamycin juzi alikisifia sana chuo hiki,aje hapa aone wenzake wanavyo lia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom