financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,133
- 40,695
Kabisaa hatutaki Sauli alinganishwe na wengine 😂Wanyaki naona mmekataa kuchafuliwa cv ya basi lenu
Kabisaa hatutaki Sauli alinganishwe na wengine 😂Wanyaki naona mmekataa kuchafuliwa cv ya basi lenu
SafiKabisaa hatutaki Sauli alinganishwe na wengine
Great thinker tu ndiye anaweza kunielewa, hapo sijafananisha magari.Mfano wako hauendani kabisa mkuu, hapo ungefananisha shabaha ya zamani, na chakito ndio waliendana na sauli then Iman hapo ungeifananisha na kina kilimanjaro au Esther
Hahaa watu wanajiropokea tu, sijui ameiona lini inawahi kufika!Majinjah inawahi kufika!!!!
Dawa yao ni basi la Majinja, liliwamwaga mavi wakafa zaidi ya 40.Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Time is money bhana!! Kufa kupo tu.Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Sema wewe labda mana nikisema mie ntaambiwa nna gubu la kizaramo,,,,Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Kuna Coaster huwa zinatoka Uyole saa 1 jioni zinaingia Dar saa 10 usiku au 11. Huwa zinapaaa. Ni hatari na nusu!Time is money bhana!! Kufa kupo tu.
Huwa ninazipanda sana hizo pamoja na zile noah za magazeti. Kuna siku niliteremka Chalinze saa 9 usiku. Hatari sana.Kuna Coaster huwa zinatoka Uyole saa 1 jioni zinaingia Dar saa 10 usiku au 11. Huwa zinapaaa. Ni hatari na nusu!
Yaani unaifananisha Sauli na Imani kweli? Aah acha hizo mzee Sauli habari nyingine ile
C..r.a.pGreat thinker tu ndiye anaweza kunielewa, hapo sijafananisha magari.
Mkoani ndo wap sasa acha dharau..we ndo mshambaNimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Nimeona na Super Feo kaleta scania mbili sijui michina kaona miyeyushokapande Mswidishi ww hii ni G7 sio iyo michina ya iman+View attachment 1953522
Usituhusishe wa kanda ya ziwa na huo ujinga.Huu ushamba upo sana mkoa wa mbeya na kanda ya ziwa!!! Jitu zima linafurahia high speed ambayo ni hatari kwa maisha ya abiria!!! Pathetic
Nimeona na Super Feo kaleta scania mbili sijui michina kaona miyeyusho
Michina haina maisha marefu mkuu, Ukiiweka barabarani ipige routes kila siku ndani ya miaka 2-3 lazima ianze breakdowns za hatari usipokua makini lazima uiweke juu ya mawe au kuna baadhi wanazipelekaga routes za vijijini huko zikapambane na rough roads kibishi while Scania unaweza usilipige spana hata miaka 10 labda services ndogo ndogo tu za kawaida. Sema michina kwenye ulaji wa mafuta tu ndiyo ziko vizuri.Nimeona na Super Feo kaleta scania mbili sijui michina kaona miyeyusho
....Mkuu, naomba kukujulisha kuwa hapo kwenye wino mwekundu. Mbeya sio mkoa pekee kama ulivyoandika, bali ni mkoa mmojawapo wenye mabus/coaster yanayosafiri kuanzia jioni, usiku kucha mpaka Dar.Acha ujinga ww, Route ya kutoka Mwanza to Dar ni zaidi ya Kilometre 1150 unataka mtu apande gari inayoenda mwendo wa kobe? Au unataka mtu atumie masaa 24? Acha mzee safari ni ndefu mno unadhani kukaa kwenye siti ya basi masaa zaidi 10 ni kazi ndogo. Sijui tu kwanini hatuna usafiri wa usiku wa coster kama kule Mbeya.
Haya Mbeya ni mkoa wenye harakati nyingi sana na pia una mwingiliano mkubwa na wafanyabiashara wengi hata kutoka nchi za kusini magharibi mwa nchi yetu, Na ndiyo mkoa pekee wenye routes nyingi za kwenda Dar kutoka wilaya zake kila moja na mabasi yake, Kyela wana mabasi yao, Mbeya mjini wana basi zao, Tunduma wana basi zao (Before hii ilkua upande wa Mbeya kabla haijawa Songwe)! Hapo napo kuna Kilometre zaidi ya 900 na barabara iko busy muda wote kupitisha magari na foleni za kutosha. Leo hii upande gari inayoenda slow kama trip town si mtakaa barabarani masaa 24!
Mbeya ndio mkoa pekee wenye usafiri wa usiku kwenda Dar maarufu unaitwa "Hakuna Kulala" na bei 30,000 yaani unaondoka saa 12 au 1 jioni unafika kesho yake asubuhi utaona ni jinsi gani ni mkoa ulikua busy na wasafiri wengi. Kuna routes ndefu balaa unakaa mpaka mwili unakufa ganzi, Mwanza to Mbeya, Bukoba to Dar, Dar to Swax, Moshi to Mbeya hizi routes zinahitaji basi nzuri imara na zenye speed, michina huwa haidumu sana kwenye hizi routes.
Asante kwa masahihisho mkuu.....Mkuu, naomba kukujulisha kuwa hapo kwenye wino mwekundu. Mbeya sio mkoa pekee kama ulivyoandika, bali ni mkoa mmojawapo wenye mabus/coaster yanayosafiri kuanzia jioni, usiku kucha mpaka Dar.
Dar lux ni gari zipi hizo kaweka chassis ya scania?Michina haina maisha marefu mkuu, Ukiiweka barabarani ipige routes kila siku ndani ya miaka 2-3 lazima ianze breakdowns za hatari usipokua makini lazima uiweke juu ya mawe au kuna baadhi wanazipelekaga routes za vijijini huko zikapambane na rough roads kibishi while Scania unaweza usilipige spana hata miaka 10 labda services ndogo ndogo tu za kawaida. Sema michina kwenye ulaji wa mafuta tu ndiyo ziko vizuri.
Siku hizi wamiliki wa mabasi washakua wajanja mkuu mfano Princes Muro na Dar Luxury n.k, Wananunua hizi michina sijui Zhongtong, Yutong, KingLong, AsiaStar & Higer then wanazivua chesisi na injini kisha wanavika chesisi kitu cha mswedeni (Scania) afu kitu kinakaa barabarani si unajua kwenye bodi mchina gari zake anazipamba zina muonekano mzuri ila chesis zake waga nzito ya Scania nyepesi kiasi na imara haina mambo mengi.