Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 448
Hapana ni ya mchimbaji wa dhahabu chunya dogo ana pesa sanaNi ya Sauli huyu mbunge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ni ya mchimbaji wa dhahabu chunya dogo ana pesa sanaNi ya Sauli huyu mbunge?
Ok nakusubirNimefurahi jirani ngoja nijiandae basi chapchap
We nae, hadi leo hii unapanda bus limechoka hivyo??Nilipanda hili bus la standard nilijuta kwa kweliii niliingia mbeya saa 5 usikuView attachment 1402433
Au KafaraSiku yakitokea maafa tusije kusema ni kazi ya Mungu
Jr
Chief kwa hivi vispeed vya sasa hivi kusifia eti gari la abiria imefika Mbeya la kwanza ni upimbi tu. Mida ya nyuma miaka ya mwishoni mwa 1990, ndio ilikuwa unapanda basi kwa kucheki vigezo vya speed, sa hivi matochi na ving'amuzi kila kona magari yanafika almost muda mmoja.Siku yakitokea maafa tusije kusema ni kazi ya Mungu
Jr
Acha uongo huyo ni Sauli wa Chunya, Wanyakyusa mnataka kubeba ujiko wa WanyihaNdiyo
We husafiri kinachokuwasha ni nini?acha roho za kichawi na chukiKamanda wa Usalama Barabarani Taifa angalia hii kitu,
Leo wanashangilia ligi na kufika 88 Mbeya saa moja,
Kesho ni kilio na lawama kwa Askari wa Usalama Barabarani.
KAMA NI KWELI, JE, SHERIA ZINAFUATWA?
Ana basi ngapi mpaka sasa?Hichi chuma naona kimekuja kumnyoosha mchina Mbeya kila siku anaongoza kuingia, au ndio nguvu ya Scania, alafu naskia analeta vyumaa vipya vya Tunduma kazi ipo.
View attachment 1402262
Sent using Jamii Forums mobile app
S.H Amon baada maduka yake ya kubadilishia fedha kutekwa na Serikali ndiyo kaja na vibasi hivyo.Sauli ndo Kiswele ya miaka hii
Ni ya Sauli huyu mbunge?
Ni ya Sauli huyu mbunge?
Nilipanda hili bus la standard nilijuta kwa kweliii niliingia mbeya saa 5 usikuView attachment 1402433
Nilipanda hili bus la standard nilijuta kwa kweliii niliingia mbeya saa 5 usikuView attachment 1402433