Sauli kaua elf zake lakini Daudi kaua elf kumi zake

Eliphaz the Temanite

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
3,018
1,147
Hivi umewahi kukaa chini ukafikria ni wapi JK anatupeleka? Miaka 5 iliyopita ni virtually hakuna kitu alichokifanya. Alichotuletea ni ma dowans, richmond na nk. Uadilifu na uzalendo unazidi kupungua! Uhujumu wa mali za umma unazidi kukua tena kwa kasi ya ajabu.

Nothing significant has been done! Mkapa alituibia sana lakini angalau alikuwa na vision! Masuala kama Economic zone pale external, mtwara corridor na uwanja wa soka na kasi ya ujenzi miundo mbinu, nidhamu katika mali ya umma ni mambo ambayo angalau yalitiliwa mkazo!

Miaka 5 iliyopita tumepotea kwenye ramani, hakuna mtu anamwamini mtanzania! Tuna kuwa characterized kama warasimu, wezi, walaghai. Madeni yakuwepo tangu wakati wa Nyerere leo hii tunataka kujiita waungwana eti kwa kutaka kulipa deni la dowan, malimbikizo ya waaalimu je? wazee wa afrika mashariki je? mnawapiga virungu mpaka wanakufa! Uungwana katika hayo uko wapi? After all CCM ni nani wa kutuambia kulipa au kutolipa?

Wenzetu wanajenga Nchi yao sisi tunakumbatia mafisadi! Kenya wanajenga uwanja wa Ndege eneo la taita KIA inakufa! Taifa tutapoteza mara mia! Hakuna mtalii atashukia KIA hakuna maua yatapitia KIA. Uwanja mnaukodisha kwa mwekezaji anayelipa $1000 kwa mwezi unategemea itatolewa huduma ya kuaminika

Wenzetu wanajenga flyovers sisi tunakarabati kipande cha km 10 kwa miaka 5. Tunaye kiongozi kweli? Mwenye uchungu na rasilimali za nchi hii?

JUA NA MVUA BORA NINI?
 
Hapa tutegemee neema na rehema za Mwenyezi Mungu vinginevyo Taifa letu linazidi kuangamia kama tutaendelea kuweka tumaini letu kwa JK ambaye amedhihirisha kutokuwa na hata chembe ya uzalendo achilia mbali mapenzi mema kwa nchi hii.
 
At this time only God mercy will save Tanzania.Ni Muujiza tu na sio vinginevyo
 
Hivi umewahi kukaa chini ukafikria ni wapi JK anatupeleka? Miaka 5 iliyopita ni virtually hakuna kitu alichokifanya. Alichotuletea ni ma dowans, richmond na nk. Uadilifu na uzalendo unazidi kupungua! Uhujumu wa mali za umma unazidi kukua tena kwa kasi ya ajabu.

Nothing significant has been done! Mkapa alituibia sana lakini angalau alikuwa na vision! Masuala kama Economic zone pale external, mtwara corridor na uwanja wa soka na kasi ya ujenzi miundo mbinu, nidhamu katika mali ya umma ni mambo ambayo angalau yalitiliwa mkazo! ....pia waisilamu walipewa bure chuo cha tanesco Morogoro kuwa chuo kikuu chao

Miaka 5 iliyopita tumepotea kwenye ramani, hakuna mtu anamwamini mtanzania! Tuna kuwa characterized kama warasimu, wezi, walaghai. Madeni yakuwepo tangu wakati wa Nyerere leo hii tunataka kujiita waungwana eti kwa kutaka kulipa deni la dowan, malimbikizo ya waaalimu je? wazee wa afrika mashariki je? mnawapiga virungu mpaka wanakufa! Uungwana katika hayo uko wapi? After all CCM ni nani wa kutuambia kulipa au kutolipa?

Wenzetu wanajenga Nchi yao sisi tunakumbatia mafisadi! Kenya wanajenga uwanja wa Ndege eneo la taita KIA inakufa! Taifa tutapoteza mara mia! Hakuna mtalii atashukia KIA hakuna maua yatapitia KIA. Uwanja mnaukodisha kwa mwekezaji anayelipa $1000 kwa mwezi unategemea itatolewa huduma ya kuaminika

Wenzetu wanajenga flyovers sisi tunakarabati kipande cha km 10 kwa miaka 5. Tunaye kiongozi kweli? Mwenye uchungu na rasilimali za nchi hii?

JUA NA MVUA BORA NINI?

Nimeongezea kidogo aliyofanya!
 
Sisi kenya tunajenga uwanja wa ndege wa kimataifa taveta mpakani na tanzania karibu na kata ya holili kilomita nne toka lake jipe, tz hamuwezi jenga viwanja vya ndege coz hata ndege zenu hazijazidi tatu, mtajengaje maboma ya wanjama wakati hata mifugo yenyewe hamna mtafuga huko mafisadi? Ndo najivunia kuwa mkenya kenyata alituambiaga ukiba inje ulete kenya hakuna kesi, but ukiiba kenya ukapeleka inje utafia korokoroni au kunyongwa.
 
Sisi kenya tunajenga uwanja wa ndege wa kimataifa taveta mpakani na tanzania karibu na kata ya holili kilomita nne toka lake jipe, tz hamuwezi jenga viwanja vya ndege coz hata ndege zenu hazijazidi tatu, mtajengaje maboma ya wanjama wakati hata mifugo yenyewe hamna mtafuga huko mafisadi? Ndo najivunia kuwa mkenya kenyata alituambiaga ukiba inje ulete kenya hakuna kesi, but ukiiba kenya ukapeleka inje utafia korokoroni au kunyongwa.

Despite of these short comings I'm still a proud Tanzania. We stand a better chance of doing better than any country in EA only if we can stand firm to fight these false vision less regimes. The destiny of a better Tanzania is in our hand!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom