Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Hivi umewahi kukaa chini ukafikria ni wapi JK anatupeleka? Miaka 5 iliyopita ni virtually hakuna kitu alichokifanya. Alichotuletea ni ma dowans, richmond na nk. Uadilifu na uzalendo unazidi kupungua! Uhujumu wa mali za umma unazidi kukua tena kwa kasi ya ajabu.
Nothing significant has been done! Mkapa alituibia sana lakini angalau alikuwa na vision! Masuala kama Economic zone pale external, mtwara corridor na uwanja wa soka na kasi ya ujenzi miundo mbinu, nidhamu katika mali ya umma ni mambo ambayo angalau yalitiliwa mkazo!
Miaka 5 iliyopita tumepotea kwenye ramani, hakuna mtu anamwamini mtanzania! Tuna kuwa characterized kama warasimu, wezi, walaghai. Madeni yakuwepo tangu wakati wa Nyerere leo hii tunataka kujiita waungwana eti kwa kutaka kulipa deni la dowan, malimbikizo ya waaalimu je? wazee wa afrika mashariki je? mnawapiga virungu mpaka wanakufa! Uungwana katika hayo uko wapi? After all CCM ni nani wa kutuambia kulipa au kutolipa?
Wenzetu wanajenga Nchi yao sisi tunakumbatia mafisadi! Kenya wanajenga uwanja wa Ndege eneo la taita KIA inakufa! Taifa tutapoteza mara mia! Hakuna mtalii atashukia KIA hakuna maua yatapitia KIA. Uwanja mnaukodisha kwa mwekezaji anayelipa $1000 kwa mwezi unategemea itatolewa huduma ya kuaminika
Wenzetu wanajenga flyovers sisi tunakarabati kipande cha km 10 kwa miaka 5. Tunaye kiongozi kweli? Mwenye uchungu na rasilimali za nchi hii?
JUA NA MVUA BORA NINI?
Nothing significant has been done! Mkapa alituibia sana lakini angalau alikuwa na vision! Masuala kama Economic zone pale external, mtwara corridor na uwanja wa soka na kasi ya ujenzi miundo mbinu, nidhamu katika mali ya umma ni mambo ambayo angalau yalitiliwa mkazo!
Miaka 5 iliyopita tumepotea kwenye ramani, hakuna mtu anamwamini mtanzania! Tuna kuwa characterized kama warasimu, wezi, walaghai. Madeni yakuwepo tangu wakati wa Nyerere leo hii tunataka kujiita waungwana eti kwa kutaka kulipa deni la dowan, malimbikizo ya waaalimu je? wazee wa afrika mashariki je? mnawapiga virungu mpaka wanakufa! Uungwana katika hayo uko wapi? After all CCM ni nani wa kutuambia kulipa au kutolipa?
Wenzetu wanajenga Nchi yao sisi tunakumbatia mafisadi! Kenya wanajenga uwanja wa Ndege eneo la taita KIA inakufa! Taifa tutapoteza mara mia! Hakuna mtalii atashukia KIA hakuna maua yatapitia KIA. Uwanja mnaukodisha kwa mwekezaji anayelipa $1000 kwa mwezi unategemea itatolewa huduma ya kuaminika
Wenzetu wanajenga flyovers sisi tunakarabati kipande cha km 10 kwa miaka 5. Tunaye kiongozi kweli? Mwenye uchungu na rasilimali za nchi hii?
JUA NA MVUA BORA NINI?