STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
- Thread starter
- #21
Mkuu sjui hukunifaham apo juu? Anyway " ivi Shia hawatamki shahada mbili? Na kwa nn Saudia inawaruhusu Shia kwenda kuhiji kama wanajua wao si ktk walioamini? Msigawanywe mkagawanyika kuweni makini sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu atafufuliwa na anaowapenda, ukiwapenda Shia = ?
Sent using Jamii Forums mobile app