Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Umeandika
Mimi sijaona shida wakatoliki kuleta vimedali vya bikira Maria vilivyolenga kuidedicate nchi katika maombi yao.Nachotaka kujua walioleta ni serikali au kanisa?Na kama kodi ya serikali ilitumika kuingiza hizo medalion.Impact yake kwa nchi ya Tanzania ilikuwa nini?
Majibu
Wewe katu huwezi kuona shida kwani ni kanisa lako
Umeandika
Kuhusu George kahama kupewa cheo na kanisa sijui atakuwa alipewa cheo gani manake walei wana daraja zao tofauti na wakreli.Hilo linatia shaka kidogo labda unifafanulie.Lakini ikumbukwe PhD ya kwanza ya heshima ya rais Kikwete ilitoka Vatican sasa sijui naye alieneza Ukristu?
Majibu
Unajifanya kipofu ?? soma tena nilichokuandikia
Umeandika
Kutoa matangazo hayo kwa KKKT ni utaratibu wa wakristu wa kufanya dedication na kumuomba mwenyezi Mungu ili lile teso kuu lililofanyika msalabani liendelee kuifanya nchi kuwa na amani.Sidhani kama waislam mgesema kuwa nchi iko chini ya Jihad ingeleta shida.
Majibu
Ndivyo katiba ya nchi inavyosema??
Umeandika
Kuhusu ukumbi wa bunge bakwata wamefanyia humo juzi juzi na hakuna aliyelalamika kwa hiyo there's no big deal kwa sababu impact yake kwa utengamano wetu kama watanzania ni negligible
Majibu
Bakwata si ya waislamu iliundwa na Serikali
Umeandika
Papa ni kiongozi wa taifa au serikali ya Vatican kwa hiyo akifa ni haki bendera ishushwe kwa sababu ana representatives na ubalozi wake hapa Tanzania pia ni kiongozi wa kiroho wa wakatoliki wa Tanzania.Unafikiri kwa nn Ahmedinejad na yule kiongoz wa kiislam Iran walikwenda kumzika John Paul wa II vatican?
Majibu
Wacha kudanganya hakuna kiongozi wa kiislamu wa Iran aliyemzika popo, wacha uongo
Umeandika
Kuhusu hilo gazeti sijui vizuri ndg yangu nifafanulie na mm nitafute sources zingine.
Majibu
Tafuta hilo gazeti kwenye ofisi yao waandikie
Umeandika
Ila kanisa katoliki lina mechanism au modus operandi yake ambapo mambo huanza kupangwa kuanzia nyumba kumi kumi hadi juu kabisa kwa maana ya organization structure iliyoshirikishi na iliyoshiba kabisa.Kanisa haliihitaji serikali kufanya mambo yake.
Limesheheni wasomi katika kada zote unazozifahamu duniani.Linatawala dunia kupitia mifumo liliyoijenga for over the years.Halimuhitaji Nyerere,Magufuli au Mkapa na ndo maana linakemea mambo yanapokuwa hayaendi sawa nchini.Kwa ujumla hii ni habari ambayo sidhani kama unapenda kuisikia ila kanisa linaaamua nini kifanyike duniani na inakuwa hivyo.Kwa karne nyingi sana kanisa limewekeza katika elimu ya watu wake na hii inalisaidia kutawala
Majibu
Hivi ni vita virefu dhidi ya uislamu na unaelewa
.
Umeandika
Mimi sijaona shida wakatoliki kuleta vimedali vya bikira Maria vilivyolenga kuidedicate nchi katika maombi yao.Nachotaka kujua walioleta ni serikali au kanisa?Na kama kodi ya serikali ilitumika kuingiza hizo medalion.Impact yake kwa nchi ya Tanzania ilikuwa nini?
Majibu
Wewe hukatu huwezi kuona shida kwani ni kanisa lako
Umeandika
Kuhusu George kahama kupewa cheo na kanisa sijui atakuwa alipewa cheo gani manake walei wana daraja zao tofauti na wakreli.Hilo linatia shaka kidogo labda unifafanulie.Lakini ikumbukwe PhD ya kwanza ya heshima ya rais Kikwete ilitoka Vatican sasa sijui naye alieneza Ukristu?
Umeandika
Kutoa matangazo hayo kwa KKKT ni utaratibu wa wakristu wa kufanya dedication na kumuomba mwenyezi Mungu ili lile teso kuu lililofanyika msalabani liendelee kuifanya nchi kuwa na amani.Sidhani kama waislam mgesema kuwa nchi iko chini ya Jihad ingeleta shida.
Majibu
Ndivyo katiba ya nchi inavyosema??
Umeandika
Kuhusu ukumbi wa bunge bakwata wamefanyia humo juzi juzi na hakuna aliyelalamika kwa hiyo there's no big deal kwa sababu impact yake kwa utengamano wetu kama watanzania ni negligible
Majibu
Bakwata si ya waislamu iliundwa na Serikali , haikuundwa na waislamu
Umeandika
Papa ni kiongozi wa taifa au serikali ya Vatican kwa hiyo akifa ni haki bendera ishushwe kwa sababu ana representatives na ubalozi wake hapa Tanzania pia ni kiongozi wa kiroho wa wakatoliki wa Tanzania.Unafikiri kwa nn Ahmedinejad na yule kiongoz wa kiislam Iran walikwenda kumzika John Paul wa II vatican?
Majibu
Wacha kudanganya hakuna kiongozi wa kiislamu wa Iran aliyemzika popo, wacha uongo
Umeandika
Kuhusu hilo gazeti sijui vizuri ndg yangu nifafanulie na mm nitafute sources zingine.
Tafuta hilo gazeti kwenye ofisi yao waandikie
Umeandika
Ila kanisa katoliki lina mechanism au modus operandi yake ambapo mambo huanza kupangwa kuanzia nyumba kumi kumi hadi juu kabisa kwa maana ya organization structure iliyoshirikishi na iliyoshiba kabisa.Kanisa haliihitaji serikali kufanya mambo yake.
Limesheheni wasomi katika kada zote unazozifahamu duniani.Linatawala dunia kupitia mifumo liliyoijenga for over the years.Halimuhitaji Nyerere,Magufuli au Mkapa na ndo maana linakemea mambo yanapokuwa hayaendi sawa nchini.Kwa ujumla hii ni habari ambayo sidhani kama unapenda kuisikia ila kanisa linaaamua nini kifanyike duniani na inakuwa hivyo.Kwa karne nyingi sana kanisa limewekeza katika elimu ya watu wake na hii inalisaidia kutawala
Majibu
Hivi ni vita virefu dhidi ya uislamu na unaelewa