mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,506
- 19,858
Kabisa mkuu,,,watu wanapotea bila kujulikana walipo,Jamaa ni mtu wa ovyo sana
Siku ukikosoa serikali kwa chochote kile ,,basi huna maisha tena ukiwa hai ,,
anakupoteza.
Kabisa mkuu,,,watu wanapotea bila kujulikana walipo,Jamaa ni mtu wa ovyo sana
Kabisa mkuu,,,watu wanapotea bila kujulikana walipo,
Siku ukikosoa serikali kwa chochote kile ,,basi huna maisha tena ukiwa hai ,,
anakupoteza.
Kwani yule mnaemfuata nyie alisoma wapi?Shida ya bwana yule alikuwa hajui kusoma na kuandika kwahiyo huu ujinga umeenda mpaka kwa waumini. Jambo afanye yeye, amsingizie Marekani.
Ujinga huu wa kumsingizia Marekani kwa kila jambo mtaacha lini?
Mkuu nashkuru na ww umeona kakaMkuu una uhakika huo ukoo tangu uanze kuitawala Saudia una miaka 1000, mbona kama ulianza kutawala tangu 1930's?
Je wajua kabla ya kuwa Saudi Arabia kuna tawala nyingi kama vile Rashiddun, Umayyad, Abbasid, Fatimid zimepita, na je jina la Saudi Arabia limetokana na nani?Mkuu 1920's kilichofanyika ni consolidation ya power throughout Saudia wao ndio wamiliki
Ila miaka 1000 iliyopita walikua ni mojawapo wa ukoo wa Kisultani Saudia among other things
Ila 1920's wakafanikiwa kutawala Saudia yote baada ya ku-depose visultani vingine vyote
Google sii mwalim wala darasa, hata huko Wikipedia unakokimbilia, tambua ya kwamba yale maandishi wanaandikwa na waandishi kama wewe, hata wewe pia unaweza kuedit.Katika viukoo vingi vya kisultan vilivyokua vinatawala visehemu mbali mbali vya Saudia,na wao kiukoo chao kilikua ni kimojawapo
Hayo mengine ya jina etc ect naomba u-google..
Thanks
Ulikuwa hujawahi kuona picha zake?nini kinaonyesha ni teja hapo?Kweli anaonekana mteja kabisa aisee daah.
Mimi mteja mtu mweupe namjua naishi nao huku centurion hiyo pua hapo inaonyesha kirahisi tuu kwa ajili ya kusinifu...Ulikuwa hujawahi kuona picha zake?nini kinaonyesha ni teja hapo?
Ok, let it be 50/50, agree to disagree on that.Una discredit wanadamu wenzako waliopoteza muda wao kukuandikia historia za watu hawa kwenye internet,cha ajabu wewe unae discredit hujawahi toa mchango wowote
Sijasema wanaaminika wote,no,kuna wanaosema kweli na wanaosema uongo kwa malengo mbalimbali
Hao unaowaaamini pia huenda wanadanganya vilevile....sijaona wewe huo uhalali wa kuwadiscredit hawa watu uanatoa wapi hasa?
Ungeniambia kuna 50/50 chance kua false or true ningekuelewa...wewe una discredit the whole blogosphere kwamba ni false as if una source very credible sana
Hata kama umekutana na huo ukoo wao binafsi wakakuambia historia yao,vilevile wanaweza kua wanadanganya kuji-project in a good light,au wanaweza wakawa wanasema kweli vile vile
Hakuna alie sahihi au au alie muongo kwa mamlaka yako binafsi unayotumia kutoa hizo judgements!
Sasa huyu kutumia unga na dini wapi na wapi, watu mbona mnakuwa na mawazo finyu..
Sio kila muarabu ndio umuone mchamungu, ostadh saaana..
Na wala sio kila mwenye jina la kiislamu ukaona ndio muislam.. Uislam haupo hivyo..
Msichokijua hawa waarabu ni washenzi na ndio maana mitume ikapelekwa huko, wafundishwe namna ya kuishi..
Sasa hapa kazungumzia mrithibwa kiti cha ufalme tayari unaleta dini, usikute huyo mjuba haswali walau rakaa za faradhi achilia mbali sunna
AiseeMimi mteja mtu mweupe namjua naishi nao huku centurion hiyo pua hapo inaonyesha kirahisi tuu kwa ajili ya kusinifu...
Saudia ni inchi takatifu,,Katengeneza baraza la mashehe wanaotoa fatwa za kunyongwa watu na kufungwa watu. Hao mashehe wote anawateua yeye, Halafu wao ndio watoa hukumu, Ukikera tu unatengenezewa kipengele unakula kitanzi.
Jamaa ana kiburi cha ajabu kabisa. Hizo nchi jirani kwa kweli hazina Amani kabisa akina UAE, Bahrain anazipeleka anavyotaka yeye, Qatar walijaribu kudindisha naona mwisho wameachia.
😄😄wanatumia afu wanakula lishe duni unazani nini kitatokeaHuku bongo na makapi yao ndo yanawafanya wakonde wabaki kichwa fuvu wakila wanakazi ya kujikuna mwili na mdomo kulegea na kutoa udenda kama mbwa
BRO kazi nzuri sana umefanya.Naona kama umeelewa majukumu yake katka uislam inatosha, hilo la cheo sijafuatilia kama aliwahi kuhudumu cheo gani.