Saudi Arabia yagoma kupeperusha bendera nusu mlingoti kwa kifo cha Mandela

Status
Not open for further replies.

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
7,687
2,238
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Sword
ikumbukwe msimamo huu haujatangazwa leo kwakuwa Mandela amefariki dunia lakini ndio msimamo wa nchi saudia Arabia kutoshusha bendera yake kwasababu au matukio yoyote hata ikiwa ni majanga ya kitaifa.
Nilichokiona ni kuwa si kwa tukio hili tu, bali matukio yote... Ulivyoiweka utadhani walishawahi shusha nusu mlongoti. Ni jambo linalojulikana na kila mtu .

Saudi Arabia




The flag of Saudi Arabia is never flown at half-mast.

The flag of Saudi Arabia is one of two flags in the world that are never flown at half-mast because it shows the shahadah. The other flag is the Flag of Somaliland. Since both bear the concept of oneness of God, the flag is never lowered to half-mast even as a sign of mourning, despite the fact that many other Muslim countries observe the official mourning of deceased Saudi kings by lowering their own national flags.


 
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.
Nilichokiona ni kuwa si kwa tukio hili tu, bali matukio yote... Ulivyoiweka utadhani walishawahi shusha nusu mlongoti. Ni jambo linalojulikana na kila mtu .

Saudi Arabia




The flag of Saudi Arabia is never flown at half-mast.

The flag of Saudi Arabia is one of two flags in the world that are never flown at half-mast because it shows the shahadah. The other flag is the Flag of Somaliland. Since both bear the concept of oneness of God, the flag is never lowered to half-mast even as a sign of mourning, despite the fact that many other Muslim countries observe the official mourning of deceased Saudi kings by lowering their own national flags.


 
Baadhi ya wanafamilia wa Familia ya Kifalme ya Saudi wamejitenga kutokana na uovu mwingi ndani ya utawala huo

Prince Khalid Bin Farhan Al-Saud has announced his defection from Al Saud royal family through a statement, calling on other princes to break their silence and reveal the truth for sake of God.

“With pride, I announce my defection from Al Saudi family in Saudi Arabia,” he wrote in his statement.
“This regime in Saudi Arabia does not stand by God’s rules or even (country’s) established rules and its policies, decisions, and actions are totally based on personal will of its leaders.”
“All that is said in Saudi Arabia about respecting law and religion rules are factitious so that they can lie and pretend that the regime obeys Islamic rules.”
He criticized the royal family for considering the country as its own property while silencing all voices from inside and outside the government calling for any change and reforms.Khalid Bin Farhan said the ruling family has deliberately pulled the country to the current condition where cries of oppressed people are ignored. “They don’t think about anything but their personal benefits and do not care for country’s and people’s interests or even national security,” he added.

Soma zaidi Saudi Arabia, Corrupt and Fraudulent Regime: Saudi Prince defects from Royal Family | Global Research


Kwa namna fulani naona unafiki tu hapo.
 
Sawa, tunakubali kila nchi na utaratibu wake. Lakini mimi naamini bendera inatakiwa ipepee nusu mlingoti hata huko kwao(Saudia), kwasababu Nelson Mandela ni mja wa mwenyezi Mungu na Mungu pia ndio alimtuma na akambariki aweze kufanikiwa kwenye harakati zake za kumkomboa mtu mweusi kwenye kwenye mateso ya ubaguzi kwenye kipindi hicho. Hayo maswala ya kufa mfalme wao anayejilimbikizia mali sisi yanaweza yasituhusu.
 
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.
Naomba kuuliza:
1.hayo maneno kwenye bendera maana yake ni nini?
2.hayo maneno yamechapishwa hapa duniani na binadamu au mbinguni na Mungu?
3.je bendera yenye hayo maneno ikipepea nusu mlingoti itakuwa inaleta tafsiri gani kwenye imani husika?
5.Je hao saudi arabia huwa wana utaratibu gani wa kiishara kuonesha maombolezo? Labda watumie huo utaratibu mwingine kama upo!
 
Weka Picha!!! Alaaa!!!
800px-Flags_at_half-staff_outside_Central_Plaza.jpg
 
waina lilah wainnalilah rajughuna. kwan kupepea nusu mlingot ndo ishara tosha? Cha mcngi kumuombea afika mahal pema pepon AMMINA
 
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.

Aiseee!! ha ha ha ha ahhaaaaaa.... tih tih tih tih ........... ah?
 
Saudi Arabia ni nchi ya ajabu sana wakati dunia nzima ilikuwa inaiwekea vikwazo afrika ya kusini ili iache ubaguzi Saudi arabia iliendelea na uhusiano wa kibiashara na makaburu.

Mwafrika kwa mwarabu ni kama mbwa tu.Lakini ngoja aguswe mwarabu awe na mmarekani au nani sijui palestina utakuta wanapiga kelele wanataka dunia nzima na misikiti hadi ya kwetu uswahilini tuunge mikono na tuandamane kulaanimtu aliyemwonea mwarabu mwislamu .Wanataka kwenye misiba yao tutoke wakati kwenye misiba yetu hawaji.

Hizi tabia hata waarabu walioko Tanzania wana tabia hizo hizo hawatoki misiba ya waswahili.Lakini akifa mwarabu wanataka tangazo la msiba litangazwe kila kipaza sauti cha msikiti.
 
Naomba kuuliza:
1.hayo maneno kwenye bendera maana yake ni nini?
2.hayo maneno yamechapishwa hapa duniani na binadamu au mbinguni na Mungu?
3.je bendera yenye hayo maneno ikipepea nusu mlingoti itakuwa inaleta tafsiri gani kwenye imani husika?
5.Je hao saudi arabia huwa wana utaratibu gani wa kiishara kuonesha maombolezo? Labda watumie huo utaratibu mwingine kama upo!
Hayo maneno ya nasema Hakuna Mungu zaidi ya mmoja tu, na Mtume Muhamamd ni The Messenger of God.

Swali lako la pili, kwani Bibilia zenu zilichapishwa mbinguni?

Swali lako la tatu bendera kama hio haita weza kupepea nusu sababu ina maneno ya Mungu na mtume Muhammad.

Swali lako la nne ambalo we umeliweka la tano, Saud arabia hata mfalme wao akifa bendera yao haishushwi, sababu hao viongozi wao, hawana kitu mbele ya Mungu na mtume Muhammad.

Nadhani nimekujibu yote maswali yangu.


Sasa mimi nakuliza wewe swali hizo bendera zinazo shushwa kuwa nusu zina faida gani, je zimemsaidia Mandela kwenda peponi au kama alikuwa ana dhambi kafutiwa dhambi zake na kwenda peponi.

Kwa ujumla mimi namheshimu sana Mandela, lakini Mungu anasema mtu yoyote duniani akiwa na mazuri atalipiwa hapa hapa duniani hata kama ni mkristo, lakini kwa Mungu kama si Muislam asahau kwenda peponi.

Naomba Mungu amjalia Mandela awe kasema neno lake la mwisho Lailah Hailah Lah Muhamamdan Rasul Lah, kama hajasema hivyo na uhakika kabisa mnao enda motoni mtakuna naye Mandela, hata na mimi kama sikubahatika kwenda peponi takuna naye, waislam wasidhani ni wote wataenda peponi. Kama hamjafanya aliyo yafanya Prophet Ibrahim an Prophet Muhammad, SALAA, kama hamsali na kufanya mazuri msahau kuona pepo ya Mungu.
 
Chuki za waarabu,dhidi ya black skin

wkt sisi,tumewakarbisha na wamejenga

wababaishaji tu hawa
 
Saudia Arabia imeonyesha msimamo katika hili naipongeza sana ila nitafurahi sana siku ikijavunja uhusiano na adui wa waislamu Marekani.
 
Saudi Arabia ni nchi ya ajabu sana wakati dunia nzima ilikuwa inaiwekea vikwazo afrika ya kusini ili iache ubaguzi Saudi arabia iliendelea na uhusiano wa kibiashara na makaburu.

Mwafrika kwa mwarabu ni kama mbwa tu.Lakini ngoja aguswe mwarabu awe na mmarekani au nani sijui palestina utakuta wanapiga kelele wanataka dunia nzima na misikiti hadi ya kwetu uswahilini tuunge mikono na tuandamane kulaanimtu aliyemwonea mwarabu mwislamu .Wanataka kwenye misiba yao tutoke wakati kwenye misiba yetu hawaji.

Hizi tabia hata waarabu walioko Tanzania wana tabia hizo hizo hawatoki misiba ya waswahili.Lakini akifa mwarabu wanataka tangazo la msiba litangazwe kila kipaza sauti cha msikiti.
Makaburu ndiyo wawekezaji wakubwa Tanzania unasemaje kwa hilo.
 
Hivi ile ni bendera ya mtume Muhammad au ya nchi ya Saudi Arabia.....??? Isije ikawa tunaongelea vitu tofauti hapa
Hio ni bendera orignal ya mtume Muhammad, na Saud Arabia kaweka panga tu chini yake ndio ikawa inaitwa bendera ya Saud Arabia. Kwa hio siku zote sisi tunatazama wewe ni orignal mtoto wa nani, hatutazami nani aliye kulea.
 
Status
Not open for further replies.
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom