CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Sword
ikumbukwe msimamo huu haujatangazwa leo kwakuwa Mandela amefariki dunia lakini ndio msimamo wa nchi saudia Arabia kutoshusha bendera yake kwasababu au matukio yoyote hata ikiwa ni majanga ya kitaifa.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.
http://en.m.wikipedia.org/wiki/Sword
ikumbukwe msimamo huu haujatangazwa leo kwakuwa Mandela amefariki dunia lakini ndio msimamo wa nchi saudia Arabia kutoshusha bendera yake kwasababu au matukio yoyote hata ikiwa ni majanga ya kitaifa.
Nilichokiona ni kuwa si kwa tukio hili tu, bali matukio yote... Ulivyoiweka utadhani walishawahi shusha nusu mlongoti. Ni jambo linalojulikana na kila mtu .
Saudi Arabia
The flag of Saudi Arabia is never flown at half-mast.
The flag of Saudi Arabia is one of two flags in the world that are never flown at half-mast because it shows the shahadah. The other flag is the Flag of Somaliland. Since both bear the concept of oneness of God, the flag is never lowered to half-mast even as a sign of mourning, despite the fact that many other Muslim countries observe the official mourning of deceased Saudi kings by lowering their own national flags.