Roho inakuuma utadhani na wewe ni ngamia.Mtume kahalalisha hilo?????
Usijitoe kaka tupo pamoja kwenye yooote hayo uliyoandikaMnaijadili na kuipiga kejeli saudi Arabia nchi ambayo haiombi hata chumvi kwenu,nchi ambayo resources moja walionayo wameitumia kujitoa katika umaskini,ila nyie wenye resources lukuki ni mabingwa wa kuwakejeli wenzenu kuliko kutumia resources mlizonazo
Islamophobia
Kuwaza kwa kutumia fuvu na sio kichwa
Roho inakuuma utadhani na wewe ni ngamia.
Hawa jamaa itakuwa wanawatafuna hao ngamia. Sio kwa upompo huu!
mawewe ni msaudia???Mnaijadili na kuipiga kejeli saudi Arabia nchi ambayo haiombi hata chumvi kwenu,nchi ambayo resources moja walionayo wameitumia kujitoa katika umaskini,ila nyie wenye resources lukuki ni mabingwa wa kuwakejeli wenzenu kuliko kutumia resources mlizonazo
Islamophobia
Kuwaza kwa kutumia fuvu na sio kichwa
Wanaamin kuwa huyu ni mnyama sacred ila nawashauri wakaokoe hili janga la AustraliaHawa jamaa itakuwa wanawatafuna hao ngamia. Sio kwa upompo huu!