safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,839
Waleykumussalam.
Naomba radhi muda wangu ni mchache. Baadae inshaallah nitarudi ili tuweze kuongezeana maarifa ya hapa na pale.
Bila shaka Iddie kwako imekuwajibikia leo, Eid Mubarakah! Hammaz ni miongoni mwa waliyofunga leo. Kila la khayr akhy.
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh.