Saudi Arabia ruksa kwa wanawake na wanaume kutumia mlango mmoja mgahawani

Status
Not open for further replies.

Nukta5

JF-Expert Member
Jun 7, 2014
1,180
1,276
Sheria kila siku Saudi Arabia zinazidi kubadilika ninazozikumbuka ni ile ya wanawake kuendesha magari, wanawake kwenda kutazama mpira uwanjani, juzi pambano la Joshua na Ruiz limefanyikia kule leo wanabadili sheria iliyokataza wanawake na wanaume kutumia milango tofauti kwenye mgahawa.

Yule mama tunaomba aje atoe ufafanuzi kidogo hapa.

Tutaelewana kidogo kidogo wacha tuonyeshane makali.

Screenshot_20191210-170639_Instagram.jpg
 
Kawaida tu. Hata huko USA na Ulaya miaka kadhaa iliyopita mwanamke alikuwa haruhusiwi kupiga kura au kupigiwa kura.

Dunia inakimbia balaa. Majuzi kati mahakama ya USA imesema sio kosa kaka na dada kuoana. Itafika mahali mama au baba ataoana na mwanae. Going fast to "Sodoma na Gomora"
 
Wameanza kupata Akili na Mwangaza.

Juzi niliwaona wanawake wa Saudi Arabia wakiangalia mapambano ya ngumi bila kufunika vichwa kwa hijab ama Nikab

Keshokutwa Pork itaanza kuuzwa mpaka katika hotel za Riyadh.

Uislam ni mfumo ambao umekuwa ukiwanyanyasa wanawake kwa miaka mingi sana.
 
Anawafanyia diffusion kubwa sana ndio maana anawaruhusu wanunue makanisa na kuyageuza misikiti... Ameshaua ukristo sasa anakuja kwenye uislam
Anataka ainue njia gani/dini gani sasa
 
Baada ya vita vya Iraq na marekani wanajeshi wa marekani wakawa wanawachukua warembo wa kiiraq na kuwapeleka disco na kuwapigisha mvinyo huku wakiwa wamevaa half nacked,watoto wakaanza kusema kumbe dunian Kuna starehe nyingi sisi tulikuwa tumefishwa na mzee Saddam Hussein wacha tule raha hahahahaha mmarekani mbaya sana
 
... tuliaminishwa wanawake kutoendesha magari, kutengwa na wanaume katika mikusanyiko, kutopiga kura, kufunika miili yao gubigubi, kutosafiri bila ulinzi wa mume au ndugu wa kiume, kutopata passport bila ruhusa ya mume au ndugu wa kiume, kutopanga chumba hotelini bila kuwa na mumewe, n.k. ni "maagizo ya mungu"!

Tena vikaundwa hadi vyombo vya kupambana na dhambi! Kumbe ni ubatili mtupu! Kumbe inategemea ni mamlaka ipi iko madarakani kwa wakati ule! Leo huyo mungu kabadilika? Sheria na maagizo ya mwanadamu yanageuzwa kana kwamba ni kutoka kwa mungu? Na tunafuata maagizo ya wanadamu bila hata kufikiri kama hatuna akili? Ajabu kweli kweli!
 
Baada ya vita vya Iraq na marekani wanajeshi wa marekani wakawa wanawachukua warembo wa kiiraq na kuwapeleka disco na kuwapigisha mvinyo huku wakiwa wamevaa half nacked,watoto wakaanza kusema kumbe dunian Kuna starehe nyingi sisi tulikuwa tumefishwa na mzee Saddam Hussein wacha tule raha hahahahaha mmarekani mbaya sana
... mitoto ya kiarabu ni noma mzee acha kabisa! Kama kuna jamii yenye warembo waarabu sio mchezo tatizo ni wanaume wao wivu mwingi na kuwatosheleza shida. Uarabuni inapoenda kupata uhuru kamili miaka kadhaa ijayo, watakaoongoza "kukimbia nchi" ni wanawake wa kiarabu. Hadi ma-princess na kuogolea kwote kwenye fedha baadhi yao wamekimbia nchi zao!
 
Kuna muandishi wa habari wa Saudi Arabia kipindi cha nyuma aliomba Hifadhi ya ukimbizi baada ya kuandika asilimia tisini ya wanawake wa saudia wakipewa uhuru wanaweza kuzini vibaya sana.

Wengi wao wanagongwa sana na wafanyakazi wa Pakistani Bangladesh hata wakizaa wanaweza kusingizia. Kwa wafanyakazi wa Kiafrika wanaogopa toto litatokea kivingine kwasababu hamna dawa za kuzuia mimba condom
 
Naona Wengi wanafurahia na ku-support Mabadiliko ya Baadhi ya Sheria Zao nchini Saudi Arabia

Mimi Si-Support ila Naona ni Muelekeo wa kufa kwa Uislamu
Maana Nchi ile ni ya Dini Moja
Na inaongozwa na misingi ya Dini ya kiislamu
Nashangaa Naona mtu anasema "wameanza kupata akili",mara Mwingne anasema "ule ulikua utumwa "
Kufuata misingi ya Dini yako ni kutokua na akili Au ni Utumwa ?

Dunian kuna Secrets Agenda nyingi ipo Siku itapitishwa sheria ya Ndoa za Jinsia moja na bado kuna watakao furahi

Hilo Swala halifurahishi bali linasikitisha Sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom