UmbeyaNimejikuta najiuliza Waafrika na sisi tuna dini gani ambayo wazungu na waarabu wanaifuata?
Africa tuna afadhali na tutatoka maana tumesha amka! Wao ni IMANI, nakwambia cheza na kitu chochote lakini sio IMANI ya binadamu! WANAJILIPUA EACH AND EVERY DAY BECAUSE OF FAITH! Come on femus kuwa mkweli kwenye hili! Mwafrica na mwarabu ni vitu viwili tofauti kabisa!Sitemi angalia madudu yanayotekea nchi za kiarabu na yanayotokea afrika!!
Africa tuna afadhali na tutatoka maana tumesha amka! Wao ni IMANI, nakwambia cheza na kitu chochote lakini sio IMANI ya binadamu! WANAJILIPUA EACH AND EVERY DAY BECAUSE OF FAITH! Come on femus kuwa mkweli kwenye hili! Mwafrica na mwarabu ni vitu viwili tofauti kabisa!
Hajj ni ya lazima angalau mara moja kwa kila muislam mwenye uwezo na umra siyo ya lazima hufanyika muda wowote. Nadhani tumeelewana.Ni kweli kabisa ila hawakusema umra wamesema hija na hija kwa mujibu wa mafundisho ina nyakati zake maalum
Heeee leo Shia ni kafiri?? Sasa nyie katika Imani yenu makafiri wapo wangapi?Saudia ni kibaraka wa marekani, kama wanawaruhusu makafiri wa kishia kwenda kuhiji alafu wanawakataza ndugu zao wa Qatar kisa tu wanaunga mkono makundi ya kigaidi ni upotofu uliomkubwa sana na watakuwa na dhima ya kujibu mbele za Allah. Hii ni dini na sio siasa
Sasa anaetakiwa kuelewa hapo ni naniHajj ni ya lazima angalau mara moja kwa kila muislam mwenye uwezo na umra siyo ya lazima hufanyika muda wowote. Nadhani tumeelewana.
Sawa.jioni njemaSasa anaetakiwa kuelewa hapo ni nani
Na wewe piaSawa.jioni njema
Muache aongee uongo ajifurahishe hapo.Historically, al-Kaaba palikuwa mahali pa makureishi kuabudia usitake kupotosha watu hapa.
Ww una matatizo leo kwako washia ni makafiri nyinyi ndo mnaleta mikwaruzano ya kidin kwa kujiona Allah ni shemeji yenuSaudia ni kibaraka wa marekani, kama wanawaruhusu makafiri wa kishia kwenda kuhiji alafu wanawakataza ndugu zao wa Qatar kisa tu wanaunga mkono makundi ya kigaidi ni upotofu uliomkubwa sana na watakuwa na dhima ya kujibu mbele za Allah. Hii ni dini na sio siasa
Watu wote wanaokiri uwepo,kifo na ufufuko wa kristo hata waarabu naoo waaaaapooHivi kama waarabu ndiyo wanatumika kama mfano wa kuwaelezea waislamu walivyo je,ni jamii gani itatumika kama mfano wa kuwaelezea wakristo?
Wapi wamedai hayo unayoyasema ? Jamani someni msisikilize maneno ya kwenye chukiKaka umejichanganya sana kwenye andiko lako. Iweje waendelee kumsema mtume huku wakidai Utume uliletwa kwa Ally as ?
Ujinga mzigoQuran imepotoshwa na abubakar mzee wa vita ndo maana tanzania tuna quran yetu tofaut na ya iran hata saud naye anaquran yake tofaut na ile wanayotumia marekan, kwa kifupi kila nchi wanaquran yao ile wanayotumia kwa malkia imeandikwa na shoga
Waarab ni minority ktk uislam na ktk nchi tano zenye waislam wengi hakuna nchi ya kiarabuHivi kama waarabu ndiyo wanatumika kama mfano wa kuwaelezea waislamu walivyo je,ni jamii gani itatumika kama mfano wa kuwaelezea wakristo?
Sasa kwanini waarabu wanatumika kama mfano wa jinsi walivyo waislamu?Watu wote wanaokiri uwepo,kifo na ufufuko wa kristo hata waarabu naoo waaaaapoo