SAU yawashauri wanasiasa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya awamu ya 6

Sauti ya Umma

Member
Aug 26, 2010
37
20
CHAMA CHA SAU CHAWASHAURI WANASIASA KUIUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA 6

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara akizungumza na Mtandao huu+ ofisini kwake Mgomeni Kagera jijini Dar es salaam.

NA MUSSA KHALID DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara amewashauri viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kuendelea kuonyesha ushirikiano kwa serikali ya awamu ya sita ili taifa liendelee kukua kimaendeleo.

Kyara amezungumza hayo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii ofisini kwake ambapo amesema mwenendo unazidi kuimarika kwa nyanja tofauti tofauti za kisiasa tangu kuingia serikali ya awamu ya sita ikiwemo pia kuwasikiliza wananchi wake hasa baada ya kupunguza tozo za simu kufuatia wananchi na wadau mbalimbali kupaza sauti zao.

Katibu huyo mkuu amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutosikiliza maneno ya wanasiasa wasiopenda mafanikio yake badala yake aendelee kuchapa kazi ili kuendelea kufanikisha taifa kuwa na maendeleo.

‘Namuomba Mhe Rais asisikilize miluzi mingi atapotea yeye apige kazi ameanza vizuri anakwenda vizuri kwani tunanaona jinsi gani anavyokwnda na sisi tunamatumaini naye asijali binadamu kwani hata ufanye jema ataangalia yale mabaya lakini mema hatusemi’amesema Kyara.

Aidha akizungumzia suala za tozo za simu Kyara amesema malengo ya Rais Samia anataka nchi kukimbia kimaendeleo iweze kufika mbali jambo ambalo amewaasa wasaidizi wake kuangalia namna ya kupunguza tozo hizo ili wananchi wachangangie kwa amani na furaha.

‘Kubwa zaidi ninaloliona watendaji au wasaidizi wa Mhe Rais wengi hawajajua nini lengo la Rais wao wakishaona sababau wanatafuta fedha basi wanapiga mabei makubwa makubwa lakini ukija kuangalia lengo la rais anataka twende mbele tukusanye mapato makubwa tujenge nchi yetu lakini sisi wenyewe kuishi maisha bora’amesema Kyara.

Katibu huyo hakusita kuwashauri baadhi ya viongozi wa chama kilichopo madarani kuwa wamsaidie Mhe Rais kwa kufanya maamuzi yaliyosahihi na siyo kutaka kushindana na mienendo yake kwa taifa linalojengwa ni moja.

Katika Hatua nyingine Kyara amemuomba Rais kukutana na viongozi wa vyama vya siasa ili kujadili masuala mbalimbali yeny nia ya kujnga mustakali wa Taifa la Tanzania.
 
Ivi taarifa/ripoti ya uchunguzi wa moto soko la kariakoo ishatokaaa ama bado
 
Yuko sahihi sana.

SAU iko sahihi mno.

Uchaguzi ukiisha inabaki kazi ya KULIJENGA TAIFA.

UCHAGUZI ulimalizika 2020....ikawa "hapa kazi tu" na sasa "kazi Inaendelea".

#SiempreJMT
#HastaHastaJMT
 
Ivi taarifa/ripoti ya uchunguzi wa moto soko la kariakoo ishatokaaa ama bado
Repoti imetoka tatizo awawezi kuitangaza na wakitangaza lazima waibadilishe kama mambo ya Hamza kada wa ccm ndiyo ilivyo kwa ule moto makada wanausika
 
Yuko sahihi sana.

SAU iko sahihi mno.

Uchaguzi ukiisha inabaki kazi ya KULIJENGA TAIFA.

UCHAGUZI ulimalizika 2020....ikawa "hapa kazi tu" na sasa "kazi Inaendelea".

#SiempreJMT
#HastaHastaJMT

Asante mtanzania mzalendo kwa kuelewa, wengine bado wamelala.

#Tanzaniakwanza
 
CHAMA CHA SAU CHAWASHAURI WANASIASA KUIUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA 6

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara akizungumza na Mtandao huu+ ofisini kwake Mgomeni Kagera jijini Dar es salaam.

NA MUSSA KHALID DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara amewashauri viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kuendelea kuonyesha ushirikiano kwa serikali ya awamu ya sita ili taifa liendelee kukua kimaendeleo.

Kyara amezungumza hayo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii ofisini kwake ambapo amesema mwenendo unazidi kuimarika kwa nyanja tofauti tofauti za kisiasa tangu kuingia serikali ya awamu ya sita ikiwemo pia kuwasikiliza wananchi wake hasa baada ya kupunguza tozo za simu kufuatia wananchi na wadau mbalimbali kupaza sauti zao.

Katibu huyo mkuu amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutosikiliza maneno ya wanasiasa wasiopenda mafanikio yake badala yake aendelee kuchapa kazi ili kuendelea kufanikisha taifa kuwa na maendeleo.

‘Namuomba Mhe Rais asisikilize miluzi mingi atapotea yeye apige kazi ameanza vizuri anakwenda vizuri kwani tunanaona jinsi gani anavyokwnda na sisi tunamatumaini naye asijali binadamu kwani hata ufanye jema ataangalia yale mabaya lakini mema hatusemi’amesema Kyara.

Aidha akizungumzia suala za tozo za simu Kyara amesema malengo ya Rais Samia anataka nchi kukimbia kimaendeleo iweze kufika mbali jambo ambalo amewaasa wasaidizi wake kuangalia namna ya kupunguza tozo hizo ili wananchi wachangangie kwa amani na furaha.

‘Kubwa zaidi ninaloliona watendaji au wasaidizi wa Mhe Rais wengi hawajajua nini lengo la Rais wao wakishaona sababau wanatafuta fedha basi wanapiga mabei makubwa makubwa lakini ukija kuangalia lengo la rais anataka twende mbele tukusanye mapato makubwa tujenge nchi yetu lakini sisi wenyewe kuishi maisha bora’amesema Kyara.

Katibu huyo hakusita kuwashauri baadhi ya viongozi wa chama kilichopo madarani kuwa wamsaidie Mhe Rais kwa kufanya maamuzi yaliyosahihi na siyo kutaka kushindana na mienendo yake kwa taifa linalojengwa ni moja.

Katika Hatua nyingine Kyara amemuomba Rais kukutana na viongozi wa vyama vya siasa ili kujadili masuala mbalimbali yeny nia ya kujnga mustakali wa Taifa la Tanzania.
Vibaraka
 
CHAMA CHA SAU CHAWASHAURI WANASIASA KUIUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA 6

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara akizungumza na Mtandao huu+ ofisini kwake Mgomeni Kagera jijini Dar es salaam.

NA MUSSA KHALID DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara amewashauri viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini kuendelea kuonyesha ushirikiano kwa serikali ya awamu ya sita ili taifa liendelee kukua kimaendeleo.

Kyara amezungumza hayo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii ofisini kwake ambapo amesema mwenendo unazidi kuimarika kwa nyanja tofauti tofauti za kisiasa tangu kuingia serikali ya awamu ya sita ikiwemo pia kuwasikiliza wananchi wake hasa baada ya kupunguza tozo za simu kufuatia wananchi na wadau mbalimbali kupaza sauti zao.

Katibu huyo mkuu amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutosikiliza maneno ya wanasiasa wasiopenda mafanikio yake badala yake aendelee kuchapa kazi ili kuendelea kufanikisha taifa kuwa na maendeleo.

‘Namuomba Mhe Rais asisikilize miluzi mingi atapotea yeye apige kazi ameanza vizuri anakwenda vizuri kwani tunanaona jinsi gani anavyokwnda na sisi tunamatumaini naye asijali binadamu kwani hata ufanye jema ataangalia yale mabaya lakini mema hatusemi’amesema Kyara.

Aidha akizungumzia suala za tozo za simu Kyara amesema malengo ya Rais Samia anataka nchi kukimbia kimaendeleo iweze kufika mbali jambo ambalo amewaasa wasaidizi wake kuangalia namna ya kupunguza tozo hizo ili wananchi wachangangie kwa amani na furaha.

‘Kubwa zaidi ninaloliona watendaji au wasaidizi wa Mhe Rais wengi hawajajua nini lengo la Rais wao wakishaona sababau wanatafuta fedha basi wanapiga mabei makubwa makubwa lakini ukija kuangalia lengo la rais anataka twende mbele tukusanye mapato makubwa tujenge nchi yetu lakini sisi wenyewe kuishi maisha bora’amesema Kyara.

Katibu huyo hakusita kuwashauri baadhi ya viongozi wa chama kilichopo madarani kuwa wamsaidie Mhe Rais kwa kufanya maamuzi yaliyosahihi na siyo kutaka kushindana na mienendo yake kwa taifa linalojengwa ni moja.

Katika Hatua nyingine Kyara amemuomba Rais kukutana na viongozi wa vyama vya siasa ili kujadili masuala mbalimbali yeny nia ya kujnga mustakali wa Taifa la Tanzania.
Mmekaguliwa na msajili nyie?
 
Back
Top Bottom