JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,494
- 7,517
Kuna habari kuwa kuna satellite iliyozeeka ya Marekani ambayo inatarajiwa kuanguka kurudi huku duniani kwa mujibu wa NASA. Wanasema saizi yake ni kama basi ambapo inategemewa itaweza kuunguka wakati ikiingia kwenye anga la dunia na baadhi ya vipande vyake vitaanguka ingawa haitegemewi kudhuru watu.
Naomba kueleweshwa, ni kwa nini wao(NASA) wanategemea kuwa itaungua. Swali lingine, kwa kuwa huko kwenye anga za juu huwa wanasema kuwa hakuna gravitational force, hivyo vitu huwa vinaelea tu kwenye anga bila kuanguka kuja huku chini, sasa kwa nini satellite hiyo isibaki huko huko juu? Ni kitu gani kinaivuta kurudi huku duniani?
Naomba kueleweshwa, ni kwa nini wao(NASA) wanategemea kuwa itaungua. Swali lingine, kwa kuwa huko kwenye anga za juu huwa wanasema kuwa hakuna gravitational force, hivyo vitu huwa vinaelea tu kwenye anga bila kuanguka kuja huku chini, sasa kwa nini satellite hiyo isibaki huko huko juu? Ni kitu gani kinaivuta kurudi huku duniani?