Habar wadau
hope kila mtu leo upo home wiki iliopita nilianzisha mada ya fiber internet na kila kitu kikawa sawa kila mtu anajua kuwa unternet ni muhimu katika kusaka saka huku na kule niligundua kuwa kuna kampuni zaidi ya saba zinafanya fiber internet hapo city centre nazo ni
TTCL
ZUKU
LIQUID
KONNECT
HAI
GOFIBER nk wate wapo competitive na ni unlimited
sasa changamoto ni moja tu hawa wapo town tu masaki posta oysterbay kariakoo tabata nk huku chanika hawajafika
sasa nikasikia zipo satelite internet nataka nifunge satelite internet huku home chanika naomba mnipe mwongozo na bundle za satelite internet zipoje
hope kila mtu leo upo home wiki iliopita nilianzisha mada ya fiber internet na kila kitu kikawa sawa kila mtu anajua kuwa unternet ni muhimu katika kusaka saka huku na kule niligundua kuwa kuna kampuni zaidi ya saba zinafanya fiber internet hapo city centre nazo ni
TTCL
ZUKU
LIQUID
KONNECT
HAI
GOFIBER nk wate wapo competitive na ni unlimited
sasa changamoto ni moja tu hawa wapo town tu masaki posta oysterbay kariakoo tabata nk huku chanika hawajafika
sasa nikasikia zipo satelite internet nataka nifunge satelite internet huku home chanika naomba mnipe mwongozo na bundle za satelite internet zipoje