KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Jana Mh. Sata alisema
Natamani ingekuwa hizi Tz
- Rais Banda alinunua Lexus 4 x 4 mbili kwa K3.6billion sawa na $720,000 na gari hizo zilikuja na ndege. Sata aliuliza, Why buy two cars at such a price? Is it really necessary? Bring them by plane?
- NAPSA (Kama NSSF yakwetu) ilichotwa 1. $98million by unknown company. 2. $15million by unknown local company. 3. K75billion by unknown individual.
Aliyekuwa finance director, Mrs. Chiwele alifukuzwa kazi na utawala wa Rais Banda baada yakukataa malipo ya hovyo. Rais Sata kamurudisha kazini na kasema, Her dismissal will be treated as paid leave and m reinstating her effective today. - Food Reserve boss and finance director (Lazarous Mawere) wamefukuzwa kazi jana, On national interest . Hawa jamaa, namjua Mawere, ana magari ya haina ya Scania yanaobeba mahindi wamekula hela ya umma. Kwanza walinunua magari, wakajipa contract yakubeba mahindi wenyewe kwa bei waliyopanga wao.
- National Service (JKT ya Zambia) wamepewa kazi na Sataa. As far as I know, you are supposed to be the richest military wing. Thus, m taking you back to your original job; building bridges and agriculture na akasisitiza kwamba haona sababu yakupewa makampuni ya nje mikataba yakujenga madaraja wakati Nationa service ipo.
- Juzi rais aliaanika ufisadi kataka ununuzi wa unga kwa wanajeshi. Awali wanajeshi walukuwa wananunuliwa unga na kugawiwa. Mara hii raisn Sata kasema We know the price of mealie meal but the price it was being bought at is too high and contracts were given to their friend who flamed up prices. Mara hii rais kasema wanajeshi wapewe hela tu ya unga wakanunue wenyewe na anajua bei ya unga.
Natamani ingekuwa hizi Tz