Sasa Watumishi kuhama vituo vya kazi kidijitali (online)

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Hayo yamesemwa Bungeni leo na David Silinde, Naibu Waziri OR -TAMISEMI. Mfumo huu unaitwa "Human Capital Management Information System" ambapo mtumishi atakuwa na uwezo wa kujihamisha mwenyewe 'online' bila kupitia kwa wakurugenzi.

Lengo ni kuepuka urasimu na rushwa. Akishathibitishwa kuhama, atahamishwa mara moja pamoja na mshahara wake na hataruhusiwa kuhama tena mpaka baada ya miaka mitatu.

Amesema pia ajira mpya zitazingatia waliojitolea kwa muda mrefu na waliomaliza vyuo muda mrefu na hawajaajiriwa mfano, kuanzia 2012, 2013, 2014 na kuendelea

 
Kama ajira zenyewe za mtandaoni zilitoa jina moja mara zaidi ya 100, hata huo uhamisho wa kidijitali unaweza chezewa.wabobgo wakiwa kwenye vyeo ni wabaya kweli.
Huo mfumo wa ajira utajuaje kuwa fulani alijitolea mda mrefu?
 
Bunch of lies ... Dont trust them..

Wataendelea na urasimu tu na wananchi watapigwa vilevile. Mfumo huo pia utaendeshwa na binadamu.
Huna connectios huchomoki.. Over.
 
Mfumo huo unaitwa *Human Capital Mgt Infmn System" au 'Human Resource Mgt IS"?
 
Hayo yamesemwa Bungeni leo na David Silinde, Naibu Waziri OR -TAMISEMI. Mfumo huu unaitwa "Human Capital Management Information System" ambapo mtumishi atakuwa na uwezo wa kujihamisha mwenyewe 'online' bila kupitia kwa wakurugenzi.

Lengo ni kuepuka urasimu na rushwa. Akishathibitishwa kuhama, atahamishwa mara moja pamoja na mshahara wake na hataruhusiwa kuhama tena mpaka baada ya miaka mitatu.

Amesema pia ajira mpya zitazingatia waliojitolea kwa muda mrefu na waliomaliza vyuo muda mrefu na hawajaajiriwa mfano, kuanzia 2012, 2013, 2014 na kuendelea
View attachment 1759835
Mfumo wa Human Capital Management Information System" uliwahi kufanikiwa nchi gani? Tanzania mifumo umekuwa minginhadi mwingine fedha zimeanza kuliwa na wachache
 
Hayo yamesemwa Bungeni leo na David Silinde, Naibu Waziri OR -TAMISEMI. Mfumo huu unaitwa "Human Capital Management Information System" ambapo mtumishi atakuwa na uwezo wa kujihamisha mwenyewe 'online' bila kupitia kwa wakurugenzi.

Lengo ni kuepuka urasimu na rushwa. Akishathibitishwa kuhama, atahamishwa mara moja pamoja na mshahara wake na hataruhusiwa kuhama tena mpaka baada ya miaka mitatu.

Amesema pia ajira mpya zitazingatia waliojitolea kwa muda mrefu na waliomaliza vyuo muda mrefu na hawajaajiriwa mfano, kuanzia 2012, 2013, 2014 na kuendelea
View attachment 1759835
Today's Top 10 Human Resource Management Challenges
  • Change management. 48%
  • Leadership development. 35%
  • HR effectiveness measurement. 27%
  • Organizational effectiveness. 25%
  • Compensation. 24%
  • Staffing: Recruitment and availability of skilled local labor. 24%
  • Succession planning. 20%
  • Learning and development. 19%
 
Hayo yamesemwa Bungeni leo na David Silinde, Naibu Waziri OR -TAMISEMI. Mfumo huu unaitwa "Human Capital Management Information System" ambapo mtumishi atakuwa na uwezo wa kujihamisha mwenyewe 'online' bila kupitia kwa wakurugenzi.

Lengo ni kuepuka urasimu na rushwa. Akishathibitishwa kuhama, atahamishwa mara moja pamoja na mshahara wake na hataruhusiwa kuhama tena mpaka baada ya miaka mitatu.

Amesema pia ajira mpya zitazingatia waliojitolea kwa muda mrefu na waliomaliza vyuo muda mrefu na hawajaajiriwa mfano, kuanzia 2012, 2013, 2014 na kuendelea
View attachment 1759835
Kazi kweli kweli hao wengine wataajiiwa watakapokuwa na umri wa miaka 50 na kuendelea
 
Back
Top Bottom