Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,882
- 33,399
Mods nawaomba huu uzi msiunganishe.
Kabla ya 2015 tulikuwa tukisikia chadema wakimwita Lowasa ni fisadi na wale wa ccm wakisema siyo fisadi.
Baada ya Lowasa kuhamia chadema, ccm wakanza kusema chadema imepokea mafisadi, huku chadema wakisema mwenye ushahidi alete au apeleke mahakamani
Leo Lowasa karudi ccm, atapokea matusi ya kila aina kutoka chadema huku ccm wakisema ni mtu safi.
Inakera sana kuwa na siasa za aina hii!
Wa kuwaonea huruma ni chadema maana wao huwa ni fungu la kukosa.
Sasa itawabidi waanze kumshangilia Lisu, kwa ajili ya urais 2020, mtu ambae hata mizizi yeyote zaidi ya kubebwa na ubwatukaji. Chadema inaenda kulingana na mdundo wa umaarufu wa mtu mmoja katika chama.
Upinzani Tanzania bado sana! Siyo kwamba watu hawajaichoka ccm, lkn wataitoa wamweke nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya 2015 tulikuwa tukisikia chadema wakimwita Lowasa ni fisadi na wale wa ccm wakisema siyo fisadi.
Baada ya Lowasa kuhamia chadema, ccm wakanza kusema chadema imepokea mafisadi, huku chadema wakisema mwenye ushahidi alete au apeleke mahakamani
Leo Lowasa karudi ccm, atapokea matusi ya kila aina kutoka chadema huku ccm wakisema ni mtu safi.
Inakera sana kuwa na siasa za aina hii!
Wa kuwaonea huruma ni chadema maana wao huwa ni fungu la kukosa.
Sasa itawabidi waanze kumshangilia Lisu, kwa ajili ya urais 2020, mtu ambae hata mizizi yeyote zaidi ya kubebwa na ubwatukaji. Chadema inaenda kulingana na mdundo wa umaarufu wa mtu mmoja katika chama.
Upinzani Tanzania bado sana! Siyo kwamba watu hawajaichoka ccm, lkn wataitoa wamweke nani?
Sent using Jamii Forums mobile app