Sasa utaweza kununua bidhaa zenye ubora wa matawi ya juu kwa kupata punguzo la bei la zaidi ya 90%

biznocrat

Member
Dec 2, 2018
9
1
Kwa wale ambao wako tayari kusubiri ndani ya miezi 16 ili waweze kupata fursa ya kununua Apple iPhone XS Max 512 GB Gold Color mpya kabisa yenye thamani ya $1,500 kwa kulipia TZS 225,000 (USD 90) tu basi tuwasiliane kwa namba hii 0658 977 330 au nitumie email kalutajr@gmail.com au tuwasiliane Skype biznocrats.

iphone xs max.jpg


Simu itauzwa wakati wowote ule ndani ya miezi hiyo 16 bei ya hela ya kidigitali ya Rainbow Currency (YEM) itakapofikia USD 0.2 (Kwa sasa bei ni USD 0.01). Kama bei ya YEM haitafikia USD 0.2 ndani ya miezi 16 basi hela zako za TSHC zitarudishwa zote bila kupunguzwa hata senti tano na kuna uwezekano mkubwa sana thamani yake ikawa imeongezeka mara nyingi tu wakati huo hivyo ukapata manufaa makubwa zaidi kuliko ungeyoweza kuyapata kupitia riba kama ungeweka hela zako za madafu au USD benki.

Utaweza kupata kwa bei hiyo ya chini kabisa kama utawahi kununua hela za kidigitali za Twnkl Shopping Coins (TSHC) wakati huu ambapo bado zinauzwa kwa bei ya chini kabisa (pre-sale) ya YEM 100 kwa TSHC.

Duka litakalouza hiyo iPhone pamoja na bidhaa na huduma zingine zenye viwango vya ubora wa hali ya juu kabisa duniani linalomilikiwa na mtandao wa Unicorn Network wenye makao yake makuu huko Las Vegas, Marekani linatarajia kufunguliwa tarehe 15/02/2019 ambapo watu wataweza kununua bidhaa/huduma zenye punguzo la bei zaidi ya asilimia 90 kama watawahi kupata TSHC wakati bado zinauzwa kwa bei ya chini.

Juu ya kupata punguzo kubwa la bei, utapata vilevile fursa ya kupata kipato cha uhakika cha milele (kirithichwasho) cha malipo ya commission kwa vizazi vitano kwenda chini kama utawaalika watu kununua bidhaa na huduma kutoka kwenye duka husika.

Mfumo huu wa biashara ambao ni ugunduzi mpya kabisa duniani unaowawezesha watu kuweza kununua vitu ambavyo hata wasingeweza kuviwazia kuvinunua kama si kwa kupitia mfumo huu wa biashara umegunduliwa na mimi mwenyewe Mtanzania mwenzenu kama inavyothibitishwa kwenye maelezo ya mkutano (webinar) tuliyoifanya na muhtasari wake (webinar recap) kuwekwa hapa hivyo ni fahari kubwa sana kwangu binafsi na kwa taifa langu kwani uvumbuzi huu umethibitisha Waafrica kwa ujumla na Watanzania mahsusi hawako nyuma tena inapokuja suala la kutumia vichwa vyao kuvumbua vitu vipya kabisa vyenye manufaa makubwa kwa jamii duniani kote.
 
Back
Top Bottom