scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
Habari zenu wana jamvi nina imani kuwa nyote wazima wa afya.
Naomba niende kwenye mada......
Huwa navutiwa sana na mabinti weupe kuliko mabinti weusi na hasa hawa mabinti tokea mkoa wa singinda na dodoma huko kondoa. jambo lilopelekea kuahidi kuoa binti mweupe tokea mikoa hio tajwa.
Pamoja na kuzingatia kigezo cha tabia na nasaba ya ninataka kumuo lakini pia suala la rangi kwangu nimelitilia kipaumbele hivyo namuomba sana Mungu anijalie nipate binti wa namna hio kwani kinyume na hapo hata nikioa mke mzuri lakini mweusi nitaendelea kuwazimikia na kuishia kuwatamani hawa wanawake waepe kwani ndicho roho yangu imekufa na kuzikwa hapo.
Hivyo sasa baada ya maandalizi yote pamoja na kujipanga kiuchumi na mengineyo kilichobaki sasa ni mimi kuanza kutembelea mikoa hio ili nitafute mchumba yule roho yangu inapenda.
Kwa yeyote anaefahamu mkoa wa singida au dodoma ambapo nikienda naweza tia kambi ili niweze kutafuta binti wa kuoa huko, kwani nimeomba likizo kazini kutimiza hazma hio ndani ya mwezi ujao nimpate binti na utaratibu mwingine uendelee kama kawaida na katika hili natuliza akili sana ili nisije dondokea pua.
Nawasilisha kwenu kwa mwenye ushauri na anaweza kunishauri maeneo yapi nianzie mkoa wa singida karibu sana kwa ushauri wako.
Naomba niende kwenye mada......
Huwa navutiwa sana na mabinti weupe kuliko mabinti weusi na hasa hawa mabinti tokea mkoa wa singinda na dodoma huko kondoa. jambo lilopelekea kuahidi kuoa binti mweupe tokea mikoa hio tajwa.
Pamoja na kuzingatia kigezo cha tabia na nasaba ya ninataka kumuo lakini pia suala la rangi kwangu nimelitilia kipaumbele hivyo namuomba sana Mungu anijalie nipate binti wa namna hio kwani kinyume na hapo hata nikioa mke mzuri lakini mweusi nitaendelea kuwazimikia na kuishia kuwatamani hawa wanawake waepe kwani ndicho roho yangu imekufa na kuzikwa hapo.
Hivyo sasa baada ya maandalizi yote pamoja na kujipanga kiuchumi na mengineyo kilichobaki sasa ni mimi kuanza kutembelea mikoa hio ili nitafute mchumba yule roho yangu inapenda.
Kwa yeyote anaefahamu mkoa wa singida au dodoma ambapo nikienda naweza tia kambi ili niweze kutafuta binti wa kuoa huko, kwani nimeomba likizo kazini kutimiza hazma hio ndani ya mwezi ujao nimpate binti na utaratibu mwingine uendelee kama kawaida na katika hili natuliza akili sana ili nisije dondokea pua.
Nawasilisha kwenu kwa mwenye ushauri na anaweza kunishauri maeneo yapi nianzie mkoa wa singida karibu sana kwa ushauri wako.