Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wanajamvi bila shaka hamjambo, hili jambo la mauwaji ya viongozi wa kidini kweli linatisha!!!
Hata tukikataa ua kukubali hatua iliyofikiwa na mambo haya ni mbaya!
Hili swala tusiliangalie kwa misingi ya dini, bali hizi ni vurugu za ku disturbelise taifa letu lenye amani la TANZANIA!! Nadhani kuna watu wanaona wivu kwa nini tuko salama kiasi hicho, kwa kutumia watu wanye uelewa ndogo wa matokeo ya mambo watakayofanya.
Tukijifanya kunyamaza kimya mambo yanayotokea nchi za wengine yatahamia Tanzania!! Serikali iwe makini kudhibiti vitendo hivi vya kihalifu.
Tunaiomba serikali yetu inayotawala ifanye mambo yafutayo:-
1. Kupiga marufuku uenezaji wa chuki na machafuko kwa njia ya dini, iwe misikitini au makanisani kwa waumini( kupandikiza chuki kwa Watanzania).
2. Kupiga marufuku kufundisha mafunzo ya kijeshi iwe misikitini au makanisani, karate kungfu, mapanga yote hayo yanayolenga kuleta uvunjifu wa amani!1
3. Kupiga marufuku vyombo vya dini vinavyo hubiri na kueneza chuki iwe gazeti, redio, mitandao na vituo vya televisheni, wanyanganywe liseni na kufunguliwa mashitaka, ya kueneza chuki.
4. Kupiga marufuku mihadhara yenye marumbano ya dini au kashfa au kueneza chuki na kuvuruga amani ya nchi yetu!
5. Kwa matokeo haya hoja ipelekwe bungeni ili kila kitu kiwekwe wazi itafutwe suluhu ya kudumu!
Naomba tuchangie bila kuingiza udini kwa maslahi ya taifa letu na watoto wetu la Tanzania!!!
Hata tukikataa ua kukubali hatua iliyofikiwa na mambo haya ni mbaya!
Hili swala tusiliangalie kwa misingi ya dini, bali hizi ni vurugu za ku disturbelise taifa letu lenye amani la TANZANIA!! Nadhani kuna watu wanaona wivu kwa nini tuko salama kiasi hicho, kwa kutumia watu wanye uelewa ndogo wa matokeo ya mambo watakayofanya.
Tukijifanya kunyamaza kimya mambo yanayotokea nchi za wengine yatahamia Tanzania!! Serikali iwe makini kudhibiti vitendo hivi vya kihalifu.
Tunaiomba serikali yetu inayotawala ifanye mambo yafutayo:-
1. Kupiga marufuku uenezaji wa chuki na machafuko kwa njia ya dini, iwe misikitini au makanisani kwa waumini( kupandikiza chuki kwa Watanzania).
2. Kupiga marufuku kufundisha mafunzo ya kijeshi iwe misikitini au makanisani, karate kungfu, mapanga yote hayo yanayolenga kuleta uvunjifu wa amani!1
3. Kupiga marufuku vyombo vya dini vinavyo hubiri na kueneza chuki iwe gazeti, redio, mitandao na vituo vya televisheni, wanyanganywe liseni na kufunguliwa mashitaka, ya kueneza chuki.
4. Kupiga marufuku mihadhara yenye marumbano ya dini au kashfa au kueneza chuki na kuvuruga amani ya nchi yetu!
5. Kwa matokeo haya hoja ipelekwe bungeni ili kila kitu kiwekwe wazi itafutwe suluhu ya kudumu!
Naomba tuchangie bila kuingiza udini kwa maslahi ya taifa letu na watoto wetu la Tanzania!!!