Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Magufuli alishafariki na mabaya yake na mazuri yake. Sasa tupige kazi. Kazi ipi hiyo? Kazi iendelee ipi? Ya kuibia wananchi? Ipi? Ya kupeana vyeo kwa kujuana?ipi?
Mi sijui. Ila kazi iendelee vijembe havitatusaidia kitu. Marehemu hayupo tena nasi. Hana la kujitetea. Na hatuwezi pata umaarufu kwa kuendelea kutembelea nyota yake.
Nlikuwa napingana na Magufuli kwenye mambo mengi. Alipokuwa niliyazika naye ....sasa nasonga mbele. Serikali ya sasa ikosoe yale mambo mabaya kwa kutenda mema hii style ya kichovu ya kila siku tunaibua la kujisema awamu yetu iliyopita haitusaidii.
Maana ni kama tumeanza kukosa content kwenye hotuba. Ndo maana wengine tulipendekeza yawepo maridhiano ya dhati kabisa. Watu wakusanyike waombane na kuombwa msamaha kisha tuanze upya kwa miguu misafi.
Huwezi jikosha kwa kuchagua yake ya kunawa na yapi ya kumwagia wenzio. Watu waridhiane na wakubali kubadilika kwa kuunda Katiba ambayo haitarudisha tawala zote zilizopita. Italeta tawala mpya kwa misingi mipya. Otherwise tutakuwa tunapiga porojo na kujikosha baada ya kuona tumeshapoteza mvuto.
NITASEMA KWELI DAIMA. FITNA KWANGU MWIKO.
Mi sijui. Ila kazi iendelee vijembe havitatusaidia kitu. Marehemu hayupo tena nasi. Hana la kujitetea. Na hatuwezi pata umaarufu kwa kuendelea kutembelea nyota yake.
Nlikuwa napingana na Magufuli kwenye mambo mengi. Alipokuwa niliyazika naye ....sasa nasonga mbele. Serikali ya sasa ikosoe yale mambo mabaya kwa kutenda mema hii style ya kichovu ya kila siku tunaibua la kujisema awamu yetu iliyopita haitusaidii.
Maana ni kama tumeanza kukosa content kwenye hotuba. Ndo maana wengine tulipendekeza yawepo maridhiano ya dhati kabisa. Watu wakusanyike waombane na kuombwa msamaha kisha tuanze upya kwa miguu misafi.
Huwezi jikosha kwa kuchagua yake ya kunawa na yapi ya kumwagia wenzio. Watu waridhiane na wakubali kubadilika kwa kuunda Katiba ambayo haitarudisha tawala zote zilizopita. Italeta tawala mpya kwa misingi mipya. Otherwise tutakuwa tunapiga porojo na kujikosha baada ya kuona tumeshapoteza mvuto.
NITASEMA KWELI DAIMA. FITNA KWANGU MWIKO.