Elections 2010 Sasa TUNATAKA SPIKA MPYA WA BUNGE!!!!!!!!!!!!!!!

Bob_Dash

Member
Nov 1, 2010
90
13
Kutokana na mapinduzi haya ya Kihistoria ya Kisiasa kutokea katika nchi yetu nadhani sasa tunahitaji SPIKA MPYA wa bunge ili mambo ya KIUNDUGU NA KUJUANA KWA SANA iwe mwisho, Wabunge wawe huru kutoa maoni/malalamiko yao bila kutishiwa, mnaonaje wadau?.
 
Vipi urais ndio basi tena!? Uspika sahau maana CCM watakuwa wengi mjengoni.
 
Mwendo mdundo,tutafika huko! Mdee,mnyika,shibuda,mbowe n.k yani safari hii watakoma mafisadi!
 
Tunataka spika mpya wa Bunge na kigezo lazima awe na umri wa miaka usiozidi 50, manake wasilipoweka age limit si ajabu mkasikia spika wa Bunge ameteuliwa kuwa KINGUNGE NGOMBARE MWITU.
 
Makamba katangaza fomu zinatolewa ni shilingi 500,000 tu. Naona anapingana na ibara ya 84 (1) ya katiba ya Jamhuri
 
Back
Top Bottom