Sasa tunapata majibu kwanini Mwapachu aliweweseka kipindi cha uchaguzi mkuu baada ya EL kukatwa

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu Mwapachu ni mjumbe wa Bodi ya Acacia ambaye kimkakati hutumika kufanya Lobbying katika serikali ya Tanzania pale mambo yanapokuwa magumu na si kuwa labda michango yake kwenye bodi ina 'akili' sana.

Mtakumbuka jinsi alivyoweweseka kipindia cha kampeni,kuanzia kura za maoni ndani ya CCM. na ni mmoja wa wanamikakati wa Ndg.Edward aliyechukizwa hadharani kiasi cha kuondoka CCm kwa mbwembwe za hali ya juu. Naam, alijua kabisa sasa uwezo wake wa ku-lobby sasa umekwisha na upo ukingozi kama si Edward atakuwepo Ikulu ya Magogoni.

Kama mtakumbuka vema muda mfupi baada ya uchaguzi kwisha na swahiba yake Edward kuanguka alirejea CCM kwa 'kuinunua' kadi yake ya uanachama kwa shilingi milioni moja katika tawi la Mikocheni 'A', huku akisema waziwazi ameamua kurejea CCM ili biashara zake na rafiki zake zisikwame.

Naam, sasa yupo ndani ya Acacia, kumbe hawa ndio marafiki zake.
 
Ndugu Mwapachu ni mjumbe wa Bodi ya Acacia ambaye kimkakati hutumika kufanya Lobbying katika serikali ya Tanzania pale mambo yanapokuwa magumu na si kuwa labda michango yake kwenye bodi ina 'akili' sana.

Mtakumbuka jinsi alivyoweweseka kipindia cha kampeni,kuanzia kura za maoni ndani ya CCM. na ni mmoja wa wanamikakati wa Ndg.Edward aliyechukizwa hadharani kiasi cha kuondoka CCm kwa mbwembwe za hali ya juu. Naam, alijua kabisa sasa uwezo wake wa ku-lobby sasa umekwisha na upo ukingozi kama si Edward atakuwepo Ikulu ya Magogoni.

Kama mtakumbuka vema muda mfupi baada ya uchaguzi kwisha na swahiba yake Edward kuanguka alirejea CCM kwa 'kuinunua' kadi yake ya uanachama kwa shilingi milioni moja katika tawi la Mikocheni 'A', huku akisema waziwazi ameamua kurejea CCM ili biashara zake na rafiki zake zisikwame.

Naam, sasa yupo ndani ya Acacia, kumbe hawa ndio marafiki zake.
Lowasa akiulizwa pesa unayohonga misikitini na makanisani inatoka wapi, majibu ni kwa marafiki, kumbe marafiki wenyewe ndio hawa wezi wa mali zetu. Pumbafu kabisa.

Hakukosea yericko nyerere alipoyaita majitu mumiani.
 
Ccm ni janga kuliko hata tetemeko la ardhi.yaani wao ndo walisaini na wao ndo wanajigeuza tena kama malaika...
 
Mkuu mleta mada unachoshangaa ni nn kipya?!
Kumbuka mamvi ndio boss la mafisadi tz......sasa what do u expect?!
 
Ningekuelewa kama mwapachu angebaki chadema lkn Bahati mzuri huyohuyo roobying yupo kwenu kwa raha zake na mlimpokea kwa shangwe na vigeregere.
Ccm ni kundi LA ukoo wa panya hakuna msafi hata mmoja
 
Watu binafsi? magufuli na wenzake walivyopitisha hizo sheria uko bungeni walikua wako chini ya chama gani? CCM NI WEZI WAKUBWA.
Tatizo hapa sio chama ni watu? Mbona hao hao CDM ndio wamekumbatia fisadi papa ambalo wanajitahidi kuliosha sasa... hata wengine huko ni vijifisadi vinatumia eti usomi wa sheria hamna lolote..CCM wana nafuu sana kuliko huo upande mwingibe.
 
Back
Top Bottom