Bado yeye kufa sasa aiche CHADEMA inadundaNamkumbua Mzee Wasira sijui Yuko wapi, alitabiri Chadema kufa.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu.
Kwani waliotaka kuiua Chadema wote wapo hai kisiasa na kimwili?Kwiyoooo.
Nyumbu wa Ufipa mnaliwazana eti?
Haaaa,,,,hongera Bavichaa kwa kupumbazana.
😂😂😂😂 Kabisa man..Kazi yetu kutoa rambi rambi tu
Mbowe yuko wapi?
Tatizo walishatolewa akili za kujitambuaKibaya zaidi ni jinsi walivyojitoa ufahamu na kushangia kama mazuzu,eti ushindi wa kishindo!
Ruhusu mikutano ya Siasa uone mziki wake.Saccos iliyochangamka (chadema) iko hai kule Twitter tu! Act wazalendo chama kikuu cha upinzani 2025.
Umefanya vizuri kumpatia elimu ya bure angalau apunguze vapour kichwani mwake."Temea chini ndugu" usikalili,sijui elimu yako wala umri wako,Wala upeo wako wa kujua Mambo.
Ingawa sipendi itokee na pia naogopa hata kuandika.
Unajua na ninakuhakikishia kuwa Tanzania inaweza kufa ndani ya saa moja tu.
Muungano unaweza kuvunjika wakati wowote ule na Tanzania ikawa Historia.
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio unazaa Tanzania na kwa bahati mbaya muungano wetu uko very delicate.
Pia kwa kukusaidia nakupa baadhi ya nchi zilizokufa.
Ndio maana nikatilia mashaka ufahamu wako.
1.USSR
2.Yugoslavia
3.Sudan
4.chekoslovakia
Kwa uchache.
Usikalili.
Anaumwa lkn siyo coronaMbowe yuko wapi?
Happy,Chalamila,na yule wa HaiList Ni ndefu aisee na inazidi kuongezeka.
WanachademaSasa tuambie, Chadema inampigania Nani??
Hata vichaa nao pia michango yao lazima iheshimiwe kama huu wakoSaccos iliyochangamka (chadema) iko hai kule Twitter tu! Act wazalendo chama kikuu cha upinzani 2025.
Ashakufa kisiasa bado afe tumzikeBado yeye kufa sasa aiche CHADEMA inadunda
Ili na wengine tujue, hebu fafanua wamejiunga lini na kwa utaratib gan. Kutuelimisha kwenye hili utakua umetusaidia tusiojua.Chadema wote wameamia CCM ya mama Samia.
CCM mbele kwa mbele.
Wao hata hawajasumbuliwa na sirikali ya jiwe,labda ile kuzuiwa kugawa rushwa ya ubwabwa wakati Wa kampeniRungwe ni mtu poa Sana Hana maneno na mtu.
Hatuwasahau Bali nyinyi hamjasakamwa Kama isakamwavyo Chadema, Kama mgesakamwa na mkavuka vikwazo na mishale mkakwepa tungewapongeza tu.
Kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.Chadema ni Mpango Wa MUNGU Kwa Watanzania.
Nakuhakikishia kwamba kila atayejiapiza kuua Chadema atakufa yeye iwe kisiasa au kimwili .
Haaa 😳Nakuhakikishia kwamba kila atayejiapiza kuua Chadema atakufa yeye iwe kisiasa au kimwili .
Mungu Fundi...Kasma mnawapigania Watanzania kwa nini hawawachagui?