MAGHAYOO
Senior Member
- May 1, 2017
- 146
- 266
Poleni sana watanzania wenzangu mliobomolewa nyumba zenu. Huyu mtu ni ROHO MUARIBIFU TENA MCHAFU. Mkikumbuka wewe ni mtu gani yani kaingia madarakani tu hata wiki mbili hazikupita kaanza kubomolea watu nyumba zao hovyo tu baadaye akasitisha sijui ni masharti ya mganga wake?
Laana zinamuandama Sasa hivi kama ishu Bombardier kukamatwa alipe deni alilosabibishia taifa na bado kuna mengi yatafichuka. NDIO MAANA ANAOGOPA KUSAFIRI NJE WANAUME WATAMSHIKILIA NAKUMZUIA ASIRUDI.
Alaaniwe kwa ROHO YAKE CHAFU, MBAYA NA HARIBIFU
Laana zinamuandama Sasa hivi kama ishu Bombardier kukamatwa alipe deni alilosabibishia taifa na bado kuna mengi yatafichuka. NDIO MAANA ANAOGOPA KUSAFIRI NJE WANAUME WATAMSHIKILIA NAKUMZUIA ASIRUDI.
Alaaniwe kwa ROHO YAKE CHAFU, MBAYA NA HARIBIFU