Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
Hii benki nimekuwa nikipitishia vijihela vyangu mara nyingi sisi wengine bahati mbaya tunalipwa mshahara kwa pesa ya Trump
Yaani namaanisha USD ili iturahisishie utoaji maana ndani ya masaa 24 tu unaweza kuambiwa unahitajika canada, dubai au sweden n.k
Basi kwa kuzingatia mambo yao, hawa jamaa wamenipa mhudumu maalumu ninapotaka kutoa pesa dada mmoja hatari sana mrembo hasa.
Huyu dada sasa kama wiki hivi ananishauri nichukue mkopo angalau wa bilioni moja niwekeze,ananambia na biashara kadhaa anazoona zinaweza lipa sijajua kama ni sehemu ya kazi yake au vipi.
Jana ndo kaniuliza kama nina ratiba imebana leo jumamosi ,bahati nzuri nilirudi juzi toka Marekani kwa hiyo nipo nipo wikiendi hii mpaka wiki ijayo ntakapoenda Saud Arabia nikamwambia nipo tu.
Ndo kunialika chakula cha usiku hotelini moja 5stars katikati ya jiji, na huyu dada alivyo hata akikwambia umpeleke yeye dinner paris ufaransa au Italy akale pizza za ukweli unampeleka tu huwezi bisha.
Ni mzuri na hata alipata bahati ya kupata akili, anashuka kiingereza vizuri kabisa acha sisi mtaani tunaongea vingereza vya Marekani isipokuwa tunapokuwa kwenye mikutano au mikutano maalumu ndo hapo tunatumia najua wenzangu wananielewa.
Huyu dada anaonekana amepania nichukue kamkopo angalau ka Bilioni moja ila anasema nikitaka hata 2 naweza pata ashaona nina mzunguko mzuri wa hela katika account yangu mjanja sana
Hapo ndo nikagundua Kuna Benki wajanja sana wanaajiri watu flani kwa malengo,nikasema ngoja tuu niende kuonana naye,mtu hakatai wito anakataa alichoitiwa ukizingatia hiyo hoteli mi ni mwenyeji sana nadhani haina shida
Hivi mnajua kuna sehemu hawakuajiri kama hauna muonekano mzuri au mrembo hizo huwa sifa za kujificha. Na nimeona hasa benki flani flani mjini ukienda ofisini unaweza jikuta unazungusha kichwa kila kona sababu ya kuona watoto wakali wakipita pita
Wadau tutafuteni pesa, Ukiwa na pesa huwezi lalamika lalamika kuwa umetendwa. Unatendwaji wakati mwanamke mwenyewe unakuwa pia kama umemwajiri maana anapata pesa ambazo hata kazini kwake mshahara wake haufikii.
Nimejaribu sana kuandika zile post za kutendwa,na za kuwa na maisha ya shida nione response watu ndo hupenda hizo... Ndo maana kuna watu hupata shida kuchimba threads zangu.nmeshatoa offer mara kibao kukutana na watu baadhi ambao walikuwa waaminifu kuonana na mimi mpaka sasa ni watatu tu.
Hao ndo wataeleza utamu wa kuwa na pesa kijana ambaye sijafika 40, tafuteni pesa wanawake watawatafuta nyie Sasa shauri yenu mkae kukomaa kutafuta wanawake na hamna pesa.
Yaani namaanisha USD ili iturahisishie utoaji maana ndani ya masaa 24 tu unaweza kuambiwa unahitajika canada, dubai au sweden n.k
Basi kwa kuzingatia mambo yao, hawa jamaa wamenipa mhudumu maalumu ninapotaka kutoa pesa dada mmoja hatari sana mrembo hasa.
Huyu dada sasa kama wiki hivi ananishauri nichukue mkopo angalau wa bilioni moja niwekeze,ananambia na biashara kadhaa anazoona zinaweza lipa sijajua kama ni sehemu ya kazi yake au vipi.
Jana ndo kaniuliza kama nina ratiba imebana leo jumamosi ,bahati nzuri nilirudi juzi toka Marekani kwa hiyo nipo nipo wikiendi hii mpaka wiki ijayo ntakapoenda Saud Arabia nikamwambia nipo tu.
Ndo kunialika chakula cha usiku hotelini moja 5stars katikati ya jiji, na huyu dada alivyo hata akikwambia umpeleke yeye dinner paris ufaransa au Italy akale pizza za ukweli unampeleka tu huwezi bisha.
Ni mzuri na hata alipata bahati ya kupata akili, anashuka kiingereza vizuri kabisa acha sisi mtaani tunaongea vingereza vya Marekani isipokuwa tunapokuwa kwenye mikutano au mikutano maalumu ndo hapo tunatumia najua wenzangu wananielewa.
Huyu dada anaonekana amepania nichukue kamkopo angalau ka Bilioni moja ila anasema nikitaka hata 2 naweza pata ashaona nina mzunguko mzuri wa hela katika account yangu mjanja sana
Hapo ndo nikagundua Kuna Benki wajanja sana wanaajiri watu flani kwa malengo,nikasema ngoja tuu niende kuonana naye,mtu hakatai wito anakataa alichoitiwa ukizingatia hiyo hoteli mi ni mwenyeji sana nadhani haina shida
Hivi mnajua kuna sehemu hawakuajiri kama hauna muonekano mzuri au mrembo hizo huwa sifa za kujificha. Na nimeona hasa benki flani flani mjini ukienda ofisini unaweza jikuta unazungusha kichwa kila kona sababu ya kuona watoto wakali wakipita pita
Wadau tutafuteni pesa, Ukiwa na pesa huwezi lalamika lalamika kuwa umetendwa. Unatendwaji wakati mwanamke mwenyewe unakuwa pia kama umemwajiri maana anapata pesa ambazo hata kazini kwake mshahara wake haufikii.
Nimejaribu sana kuandika zile post za kutendwa,na za kuwa na maisha ya shida nione response watu ndo hupenda hizo... Ndo maana kuna watu hupata shida kuchimba threads zangu.nmeshatoa offer mara kibao kukutana na watu baadhi ambao walikuwa waaminifu kuonana na mimi mpaka sasa ni watatu tu.
Hao ndo wataeleza utamu wa kuwa na pesa kijana ambaye sijafika 40, tafuteni pesa wanawake watawatafuta nyie Sasa shauri yenu mkae kukomaa kutafuta wanawake na hamna pesa.