klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Yep wapo, na mimi nikifanikiwa ndio nitakuwa mod wa kwanza mwafrika wa facebook. Tusiendelee tena na huu mjadala waswahili watalogakumbe fb kuna mod?itabidi nijiunge
Yep wapo, na mimi nikifanikiwa ndio nitakuwa mod wa kwanza mwafrika wa facebook. Tusiendelee tena na huu mjadala waswahili watalogakumbe fb kuna mod?itabidi nijiunge
Hapa umemzalilisha lawyer. Edit kabla Keren Happuch hajasoma hiime nishaota umempunguzia sh.54
Bora ukalinde ndoa wanasubiri wajewaseme tulijua SL hawezi kudumu kwa Nitonye. Haswa huyo lawyer ameanda na hati ya madai. Kaba anasubiri adake tonge lako. Lala unono my wifi
hehehe mikwala tu iyo haendi kulala bana hela ya cafe imeisha na Nitonye wenyewe zigo lake la mitumba limeibiwa last wiki mtaji umeathirika, wanabana matumizi.Bora ukalinde ndoa wanasubiri wajewaseme tulijua SL hawezi kudumu kwa Nitonye. Haswa huyo lawyer ameanda na hati ya madai. Kaba anasubiri adake tonge lako. Lala unono my wifi
Gudi nite, niote nimemnunulia vocha blaki woman
Hapa umemzalilisha lawyer. Edit kabla Keren Happuch hajasoma hii
donge lipi hilo?nitonye kaka yangu jamani
Watu wamekuwa wasumbufu sn day & night mi nasumbuliwa sana, wengine wana heshima zao humu hlf bado hawana staha. Au tatizo ni ule uzi wangu? Sasa nawataarifu kama mtaendelea nitamwaga majina yenu hapa na pm zenu zote. Mbona siku ile mlikuwa mnanipa ushauri mzuri, sasa inakuwaje mbona leo wote mnanitaka tena jamani? Ah mi sitaki bwana.
Toka lini huyo hata damu hazijuani
hehehe mikwala tu iyo haendi kulala bana hela ya cafe imeisha na Nitonye wenyewe zigo lake la mitumba limeibiwa last wiki mtaji umeathirika, wanabana matumizi.
ushaanza kuota eh?
Naanza kuwataja.
1. Bakbkey- sikutaki.
2. Polisi- Jipange vizuri naweza kukufikiria.
3. Thickdijayz- unaonekana wewe ni mzee.
4. Kabakabana- ukizidi kunisumbua nitaweka mpaka namba yako ya simu hapa.
5.
6.
7. Nitarudi tena kuwataja wengine.
Nyamazeni mnatupigia kelele, mnasababisha tunajing'ata vile mwatusema lol.Nitonye bepari muulize Bishanga hata SL aliona hilo
Halafu wewe una kesi ya kujibu
Wifi nashindwa kulala, yan kila nikifunga macho naiona taswira ya klorokwini...Bora ukalinde ndoa wanasubiri wajewaseme tulijua SL hawezi kudumu kwa Nitonye. Haswa huyo lawyer ameanda na hati ya madai. Kaba anasubiri adake tonge lako. Lala unono my wifi
Wifi nashindwa kulala, yan kila nikifunga macho naiona taswira ya klorokwini...
Huu ni ****** sana ..
Watu tuna PM mpaka tuna delete inbox kila siku lakini wala hatufungui midomo yetu ..
Sijui ndo kuringisha ya kwamba unapata PM?
Hakuna atakaye kuamini ukiendelea na huu
mchezo. Kila kitu kimejengwa kuzunguka "TRUST " ..
Solution
1.unaweza ukawa PM na kuwaambia waache.
2. Unaweza kuwa block
3.Tuma PM kwa mods uwaeleze nini kulikoni
Wifi nashindwa kulala, yan kila nikifunga macho naiona taswira ya klorokwini...
Khaa inaonekana alitoa mchango mkubwa kwenye harusi