sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kweli..sidhani,Mx
Kweli..sidhani,Mx
Hahaha! Umeonae? Nauchunga haswa!...
hahahaa eti ukisonga ugali unamwona kwenye mwiko!mi sikutumii pm, nakutongoza hapa hapa hadharani. Dorrice moyo wangu umekudondokea, hasa nikisoma post zako ndio nazidi kuchanganyikiwa, unaonekana u mrembo sana bibie. Tafadhali naomba unionee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio. Nikinywa maji nakuona kwenye glass, usiku silali nabaki nikikuota wewe. Moyo wangu unateketea Dorrice kwa ajili yako.......(kama naelekea elekea kukushawishi/kukuvutia niambie niende ukurasa wa pili)
sasa wewe ungekuwa na mvuto kama wangu siungetembea bila nguo
ajidanganyi ndo alivyo,sema ananuka "KWAPA"hatari,MxKhaaa ndivyo unavyojidanganya
yeah,MxKweli..
Watu wamekuwa wasumbufu sn day & night mi nasumbuliwa sana, wengine wana heshima zao humu hlf bado hawana staha. Au tatizo ni ule uzi wangu? Sasa nawataarifu kama mtaendelea nitamwaga majina yenu hapa na pm zenu zote. Mbona siku ile mlikuwa mnanipa ushauri mzuri, sasa inakuwaje mbona leo wote mnanitaka tena jamani? Ah mi sitaki bwana.
unavutia na ndani au nje tu?sasa wewe ungekuwa na mvuto kama wangu siungetembea bila nguo
sasa wewe ungekuwa na mvuto kama wangu siungetembea bila nguo
Lawyer pole kwa mshtuko ila hujatajwa kipindi cha kwanza, subiri cha pili kianze!Khaaaa!
Unipitie tukaoge maji ya bahari mwaya.
Hahahaha! Sasa anakutaka anakujua??..au vile ameona waitwa polisi akajua uko kitengo cha usalama barabarani akaona atest zali... lol, afu hapa anajishaua eti mwamtongoza, jf raha kweli jamani!
Hapo nitonye atoki. Kuna nyepesi nyepesi zinasema nitonye akikosa wa kumPM anajiPM mwenyewe. Imekula kwako jimama.Lawyer pole kwa mshtuko ila hujatajwa kipindi cha kwanza, subiri cha pili kianze!
Mjini hapa mama, zubaa ulizwe wakati wenzio wana cheka!
Hapo nitonye atoki. Kuna nyepesi nyepesi zinasema nitonye akikosa wa kumPM anajiPM mwenyewe. Imekula kwako jimama.
Heri mie sijasema
usiogope jione mwenye bahati kukubaliwa na mrembo,mmeshusha mistari wengi ila wenzio wana nyota ya punda. HONGERAUkiweka na mimi naweka pm zako zote ulizonitumia. Yah ukimwaga mboga na mimi nmwaga ugali
Hahaha! Usikute hata ndo huyu kaja kivingine!Ndio nachokupendea my wifi wengine wanalia kama eliza wa tegeta