Nimefkuuzwa kazi Prishaz kale kakompyuta ka kazini nilikokuwa naingilia JF sku hizi hakapatikani tena na cafe inabidi nipande daladala kuifikia.klorokwin umepotea sana,hujambo?na wewe ni mmoja wa wanaomsumbua Dorrice?
ajidanganyi ndo alivyo,sema ananuka "KWAPA"hatari,Mx