heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,746
- 8,680
wasalaam G.thinker
Tangu nijiunge J.F sijawahi ona uzi wa mahusiano uliokosa wachangiaji au swala lililokosa ufumbuzi kuhusu mahusiano na mengineyo
haaa!! nakuja kushtuka saivi kumbe mapenzi sikuanzia kwake, ila kwanini nimempenda kiasi ichii mwanamke huyu pasi na shaka yeye ndo alianzia mapenzi kwangu, namjua tangu umri wa kuvunja ungo wake
Anakaa mtaa wa pili Kipindi hicho alikua mdogo kiumbo sikumbuki nilivutika nae nini, ila nikajikuta nishafungua moyo wangu kwake sikuhitaji chochote kwake kalikua kananipenda tu nae nakapenda taratibu nikaachana na wale waliomtamgulia.,
Siku zikaja zikapita upendo ukanawiri haswa nikapata wazo hei huyu ndo nitakae muoa sijamgusa mtoto wa watu kwa maana nilikua na lengo nae dhahiri
Bana wee namba zinasogea mtoto akakua mwili na akili bado mnako nipo nae, nikaja kugundua mtoto ni mzuri shape kweli amebarikiwa aah nikaona kawaida maana si mgeni wa izo vitu,nikamsifu sikumyima sifa zake mtoto wa kike
masika kiangazi vikapita furaha mwanzo mwisho yeye ni jirani yangu ila tunaweza tusionane mwezi miezi 3 n.k ila mawasiliano 18hours, nikasafiri zaidi ya miezi ila kwa mawasiliano nilihisi yupo nami karibu
Niache masihara Alinipenda haswa nami sijivungi nilimpenda akapendeka walahi nilisahau kama kuna wanawake wengine, nikaenda mbali zaidi nikasahau kama nilikua kitombi hapo kabla
maisha yakasonga tumesha meintain upendo vya kutosha kama ni chart ya GBPUSD basi ni implusive uptrande mwanzo mwisho no corrective
Gafla bin vuu ukaja mtikisiko penzi letu likadrop kiwango ambacho siamini kama nipo nae nilishadrop uzi wake hapa nilitumia muda wangu,akili zangu,upendo wangu kumsihi almost 3month ndo akakubali kurudi
yes tukarudi form mapenzi yakachocheka upya lol kumbe ilikua retest gafla msichana akabadilika kila wakati ana itilia shaka ukadrop tena tuachane za kutosha ila mi napoteza
akafika mahala anadai hapendi kunisikia anjisikia vibaya mno akisikia sauti yangu anajihisi nusu ya kutapika au kama anabanwa na kitu
Akaanza visa akatafuta sababu akaona ndo kwanza mi sielewi somo
akaja kugundua nipo siriasi siachiki
Sijamfuatilia sana ila akaja akasema hataki kuolewa na mimi maana kwanza tunakaa sehemu moja ninamjua sana hatutoheshimiana,
kingine anahitaji mwanaume wa mbali asiemjua undani wake
nikaja gundua kumbe bado nalea mtoto
Nikubali kuachika tu nikubali nilikua mwalimu wake wa mapenzi
summary;
Nina msichana tumependana sana nina malengo nae tumedumu katika uhisiano kwa muda mrefu kipindi kilichobaki ni kuelekea ndoa,
ila sasa amabadilika visa ni vingi haeleweki amekua kila siku ni wimbo wake tuachane, hataki kuolewa namj b'coz nimemjua sana undani wake n.k
yupo nataka staki
sasa wakuu nipo ktk dilema nichape lapa au niendelee kujishusha kwake? au nimhoji maswali gani kuntu akili yake imkae sawa? naweza mtumia ujumbe jibu lake yeye ni "mmh"
Se
Tangu nijiunge J.F sijawahi ona uzi wa mahusiano uliokosa wachangiaji au swala lililokosa ufumbuzi kuhusu mahusiano na mengineyo
haaa!! nakuja kushtuka saivi kumbe mapenzi sikuanzia kwake, ila kwanini nimempenda kiasi ichii mwanamke huyu pasi na shaka yeye ndo alianzia mapenzi kwangu, namjua tangu umri wa kuvunja ungo wake
Anakaa mtaa wa pili Kipindi hicho alikua mdogo kiumbo sikumbuki nilivutika nae nini, ila nikajikuta nishafungua moyo wangu kwake sikuhitaji chochote kwake kalikua kananipenda tu nae nakapenda taratibu nikaachana na wale waliomtamgulia.,
Siku zikaja zikapita upendo ukanawiri haswa nikapata wazo hei huyu ndo nitakae muoa sijamgusa mtoto wa watu kwa maana nilikua na lengo nae dhahiri
Bana wee namba zinasogea mtoto akakua mwili na akili bado mnako nipo nae, nikaja kugundua mtoto ni mzuri shape kweli amebarikiwa aah nikaona kawaida maana si mgeni wa izo vitu,nikamsifu sikumyima sifa zake mtoto wa kike
masika kiangazi vikapita furaha mwanzo mwisho yeye ni jirani yangu ila tunaweza tusionane mwezi miezi 3 n.k ila mawasiliano 18hours, nikasafiri zaidi ya miezi ila kwa mawasiliano nilihisi yupo nami karibu
Niache masihara Alinipenda haswa nami sijivungi nilimpenda akapendeka walahi nilisahau kama kuna wanawake wengine, nikaenda mbali zaidi nikasahau kama nilikua kitombi hapo kabla
maisha yakasonga tumesha meintain upendo vya kutosha kama ni chart ya GBPUSD basi ni implusive uptrande mwanzo mwisho no corrective
Gafla bin vuu ukaja mtikisiko penzi letu likadrop kiwango ambacho siamini kama nipo nae nilishadrop uzi wake hapa nilitumia muda wangu,akili zangu,upendo wangu kumsihi almost 3month ndo akakubali kurudi
yes tukarudi form mapenzi yakachocheka upya lol kumbe ilikua retest gafla msichana akabadilika kila wakati ana itilia shaka ukadrop tena tuachane za kutosha ila mi napoteza
akafika mahala anadai hapendi kunisikia anjisikia vibaya mno akisikia sauti yangu anajihisi nusu ya kutapika au kama anabanwa na kitu
Akaanza visa akatafuta sababu akaona ndo kwanza mi sielewi somo
akaja kugundua nipo siriasi siachiki
Sijamfuatilia sana ila akaja akasema hataki kuolewa na mimi maana kwanza tunakaa sehemu moja ninamjua sana hatutoheshimiana,
kingine anahitaji mwanaume wa mbali asiemjua undani wake
nikaja gundua kumbe bado nalea mtoto
Nikubali kuachika tu nikubali nilikua mwalimu wake wa mapenzi
summary;
Nina msichana tumependana sana nina malengo nae tumedumu katika uhisiano kwa muda mrefu kipindi kilichobaki ni kuelekea ndoa,
ila sasa amabadilika visa ni vingi haeleweki amekua kila siku ni wimbo wake tuachane, hataki kuolewa namj b'coz nimemjua sana undani wake n.k
yupo nataka staki
sasa wakuu nipo ktk dilema nichape lapa au niendelee kujishusha kwake? au nimhoji maswali gani kuntu akili yake imkae sawa? naweza mtumia ujumbe jibu lake yeye ni "mmh"
Se