Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Tangu Mhe Pinda awe Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumekuwa na sintofahamu kubwa sana juu ya utendaji wa wale anaowaongoza na kuwasimamia( yeye akiwa kama kaka mkuu).
Tumeshuhudia Twiga wakikunjwa kama karatasi huku wakiwa wamepuliziwa madawa ya kulevywa na kupelekwa ughaibuni chini ya usimamiza wa mheshimiwa huyu..
Tumeshuhudia watu wakijibatiza ubilionea kwa kuuza meno ya tembo na kuyasafirisha bila hata uoga huku watanzania wengi wakilia hali ngumu ya maisha yeye akiwa amejivika kofia ya mtoto wa mkulima.
Aliipokea nchi yetu ikiwa katika giza nene, bahati mbaya ameendelea kuitokomeza na kuipeleka kusikojulikana kwa maslahi ya waliompa dhamana..
Tunaowaona wanajiuzulu na wengine kutenguliwa nyadhifa zao ni kwasasabu ya utendaji na ufuatiliaji mbovu wa kiongozi huyu( japo kujiuzulu kwao hakuna tija kwa taifa) na watanzania hatuko tayari kuyavumilia haya.
Na kwasababu ameshindwa kuwajibika, na hana uhakika wa kufanya jambo lolote lenye manufaa kwa watanzania
Na kwa sababu ameikosea ardhi pamoja na viumbe vyote vilivyomo na mimi nashauri na yeye APIGWE TU..
EE APIGWE TU...TUMECHOKA SASA.
Tumeshuhudia Twiga wakikunjwa kama karatasi huku wakiwa wamepuliziwa madawa ya kulevywa na kupelekwa ughaibuni chini ya usimamiza wa mheshimiwa huyu..
Tumeshuhudia watu wakijibatiza ubilionea kwa kuuza meno ya tembo na kuyasafirisha bila hata uoga huku watanzania wengi wakilia hali ngumu ya maisha yeye akiwa amejivika kofia ya mtoto wa mkulima.
Aliipokea nchi yetu ikiwa katika giza nene, bahati mbaya ameendelea kuitokomeza na kuipeleka kusikojulikana kwa maslahi ya waliompa dhamana..
Tunaowaona wanajiuzulu na wengine kutenguliwa nyadhifa zao ni kwasasabu ya utendaji na ufuatiliaji mbovu wa kiongozi huyu( japo kujiuzulu kwao hakuna tija kwa taifa) na watanzania hatuko tayari kuyavumilia haya.
Na kwasababu ameshindwa kuwajibika, na hana uhakika wa kufanya jambo lolote lenye manufaa kwa watanzania
Na kwa sababu ameikosea ardhi pamoja na viumbe vyote vilivyomo na mimi nashauri na yeye APIGWE TU..
EE APIGWE TU...TUMECHOKA SASA.