Sasa ni wakati wanaCCM tujitafakari na kuchukua hatua. Je, chama chetu ni mali ya wakulima na wafanyakazi? Au ni mali ya wajanja wachache?

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
Tokamo na uhamiage Kwa wale iliyokuwa ukiwatukanaga,wenyewe hawanagashidaa na yeyote😜
 
Wakulima na wafanyakazi tulibahatika kukomboa chama chetu lakini kwa sababu sisi sio wajanja tumewarudishia.

Pombe Magufuli kumpa umakamu yule Mama asiyemfahamu lilikuwa ni kosa kubwa la kizezeta.

Tunapaswa kukuza wakulima na wafanyakazi wajanja.
Ni Mali ya wenye Chama Chao🤸
 
Wakulima na wafanyakazi hawaendi bila madalali. Utalima Mahindi utamtafuta dalali akuuzie vilevile Mfanyakazi bila kumtafuta mtu wa kazi upati kazzi kwahiyo tulieni
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
Mzee makamba amesema wazi kwa kumuuliza Mwenyekiti

"Samia Kwani wewe hauna Tumbo?"

Kwa hiyo issue hapo ni Tumbo power .
 
Bila hata ya kutumia hadubini sasa ndio wakati wa kuchambua pumba na mchele.

Chama chetu kilianza na madhumuni mazuri kabisa ya kuwa chama cha kuwatumikia watanzania ambao ni wakulima na wafanyakazi.

Ndio ilikuwa dhima kuu kuleta maendeleo kwa manufaa ya kila mtanzania.

Hakikuwa mali ya wajanja wachache huko nyuma ambao wao ni kushibisha matumbo yao.

Sasa tutafakari na kufanya tathimini juu ya CcM ya leo. Ambayo ni mali ya familia ya wajanja wachache.
Chama cha Mazezeta, mnachezewa akili ile mbaya
 
Back
Top Bottom