Sasa ni wakati wa kuianika mikataba yote ya Magufuli kama wao walivyoanika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo na mingineyo

Harufu ya samaki ilianza mara baada ya kumweka mpwa kwenye kibubu, kwa kweli mpwa itabidi atusaidie kwenye hili...wafukunyuzi anzeni kufukunyua bei ya terrible teen...
 
Tena waanze na ile ya MAYANGA nasikia tu lakini kwamba imejaa madudu
 
Fix hzo
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa serikali hii mpya ili tuone ni nini kimo kwenye hiyo mikataba na tukigundua ni mikataba mbovu; basi tuisitishe na kisha tuifumue kabla ya kuendelea nayo.

Tukumbuke ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ulifutiliwa mbali kwa hoja mkataba wake ulikuwa mbovu na baaadhi yawatu wakapongeza hatua hiyo.Sasa tujiulize, mikataba aliyoingia Magufuli tunaijua?Kama hatuijua, tuna uhakika gani haiwezi kuwa kama ile ya wakati wa Kikwete ukiwemo huo wa Bandari ya Bagamoyo?

Kwa msingi huo, nashauri mikataba ya Magufuli yote ichunguzwe na iwekwe wazi na pia tuanze sasa utaratibu wa kupitisha mikataba yote Bungeni na utaratibu huu uwe wa kisheria.

Uzalendo ni vitendo na sio maneno au propaganda za kisiasa.
Kimenuka !
 
Uko sahihi lakini naona pia mwisho wa miradi hiyo. Huenda ikafa na tukabakia kwenye malumbano
 
kama kunamikataba mibovu naye pia kama makamu wa raisi alishiriki pia katka hyo mikataba,kuiweka wazi ni kujivua ngua yeye mwenyewe, ko n kitu hakiwezi tokea
 
Na tuelezwe aliyejenga chato airport alipataje ile tender na pia tutajiwe majina ya wengine walio bid tender tuone nani alistahili
Mayanga Construction imekuwa Mayanga kweli ila wafanyakazi wake wamekula bata sana sema ndo hivyo kutesa kwa zamu, upepo umegeuka ghafla
 
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia.
Umejua na huku mtaani ni watu wangapi wamefurahi?
 
Mkuu umeandika mengi ila ni upupu mtupu. Hao unaosema wamejitokeza ni kutaka kuhakikisha kuwa mweli kaondoka.

Ile misafara yote na mitutu ya bundiki haikuwa kitu mbele ya kifo. Alifikiri walinzi wote wale wangeweza kumkinga na kifo. Ninyi ndiyo mjitafakari ktk hilo.

Aliwananga sana watangulizi wake juu ya mikataba. Sasa tunahitaji mikataba yake nayo iwe wazi ili tuchekeche. Je alikuwa na uhalali wa kuwananga watangulizi wake??

Alishindwa kuelewa bwana asipoulinda mji alindae afanya kazi bure
 
Niliuwaga muumini mzuri wa Upinzani,baadae niliona ni Usanii mtupu umewajaa! Sasa hivi JK kageuka kuwa Malaika kwao. Kweli JPM aliwanyoosha.
Acha kubwabwaja tunataka mikataba yake iwekwe hadharani
 
Vipi kuhusu familia ya saa8, Azory, Mawazo, Lissu Akwilina, waliopotea??? Nchi ilipalaganyika machache mkawa na sauti yakuamua mambo nyeti ya Nchi bila utaratibu wananchi tunahitaji mtu atakae-harmonize upepo huo kurudisha umoja na upendo. Sgr,hospital, Barbara havina maaana kama hakuna haki na upendo.
Hao nao walitutisha tutashitakiwa MIGA?
 
Sidhani kama serikali inahitaji kufanyia kazi maneno ya mitandaoni,na kama wewe ni mmoja ktk viongozi yamkini ni mbunge tutaenda kusema bungeni huko

Tunachojua JPM alikua kiongozi shupavu na tutamkumbuka,hatuamini kama aliweza kua na makando kando

Nje na hivyo utakua unatupigia kelele tu
Mnatumia nguvu kubwa sana kumpamba huku hatamki watu na media waeleze mabaya yake ila hii hautawasaidia kufunika makosa yake.Ni swala la muda tu huu ujinga utafika mwisho.
 
Back
Top Bottom