Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
- Thread starter
- #81
Wanafiki sana hawa jamaa.Nakwambia ni CCM hawa hawa walioitwa majizi ndio watamuanika Magu na madudu yake.Mkuu umeandika mengi ila ni upupu mtupu. Hao unaosema wamejitokeza ni kutaka kuhakikisha kuwa mweli kaondoka.
Ile misafara yote na mitutu ya bundiki haikuwa kitu mbele ya kifo. Alifikiri walinzi wote wale wangeweza kumkinga na kifo. Ninyi ndiyo mjitafakari ktk hilo.
Aliwananga sana watangulizi wake juu ya mikataba. Sasa tunahitaji mikataba yake nayo iwe wazi ili tuchekeche. Je alikuwa na uhalali wa kuwananga watangulizi wake??