thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Itapendeza Sana huyu dereva akirejea nchini akawapatia maelezo ya tukio jeshi la polisi ili waendelee na mchakato wa kutafuta wahusika wa tukio, kwani ni shahidi muhimu Sana, au na yeye kaenda Belgium?