matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,565
- 15,294
Huyu jamaa japo hana muda mrefu kuliko hata wale wachekeshaji wa mizengwe, kwa mtazamo wangu ndiyo mchekeshaji pekee aliobaki mwenye uswezo wa kuvaa viatu vya mzee majuto.
hakuna cha
Jotii, mkandamizajo, mpoki, mkwele wana nani.
Brother K, kaza uzi fanya maboresho ututoe wabongo kwenye ulimwengu wa vichekesho.