Ni ubaguzi tu na ujinga wa viongozi wetu...kama umewahi fika kagera basi haina tofauti na Uganda,mkoa una rasimali nyingi sana ikiwemo udongo mzuri sana,una maji mengi sana na umekaa strategic position lakini basi tu
Viongozi wetu waliuacha makusudi eti ukiuendeleza utakuwa umewafavour wahaya lakini sasa angalia unavyozinufaisha nchi jirani kuliko hapa kwetu,ukitaka kulijua hili nenda uangalie biashara inavyofanyika kati ya mkoa huo na hzo nchi hasahasa Ug na Rwa,rasilimali zote za mkoa wa kagera zinaishia nje na Tanzania inabaki masikini...anywy hao ndo viongozi wetu na miaka yetu 50 ya Uhuru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.