Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

Kwani kakosea wapi? Pengine mmepishana tu lugha. Ni kweli Tanzania haikuwepo tarehe 9 disemba. Ilikuwepo Tanganyika ambayo ni Tanzania Bara. Ni sawa na mtumishi kusema, "ni Mungu kweli na mtu kweli
 
Mkuu kwa maana hiyo target ya ,kesho nchi mbili zitaazimisha kumbukumbu za uhuru,yaani Tanganyika na Tanzania bara! kumbe idadi yetu kubwa tuna vichwa vya kufugia nywele tu.
 
Eti Kesho tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara. Huyu Mtu ' nimemdharau ' hadi nawaonea Huruma Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wake waliomfundisha achilia mbali tu Wazazi wake bila kusahau Ndugu, Jamaa na Marafiki zake.
Sasa unatuambia sisi ili iweje? Kwani huna kazi nyingine ya kufanya? Acha wivu kijana
 
sasa tatizo lipo wap? ata kama anajua kakosea ndo inastahili kua mada kiasi kikubwa? hamna kazi za kufanya nn
 
Kwahyo kama kunatatizo unataka sisi tufanyaje? Kwan vijana mmekosa kazi za kufanya? Shame on you
Na wewe unaona hiyo sentensi ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania bara iko sawa? Kuna tatizo kubwa nchi hii!!
 
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama DAB!
Uamuzi wa Busara sana huu
tapatalk_1561614537479.jpg
 
Mkuu GENTAMYCINE,

Tarehe 9 Desemba ni Sikukuu ya kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika (later a.k.a. Tanzania Bara).

Tarehe 9 Desemba haijawahi kuwa siku ya Uhuru wa ama Tanzania ama Tanganyika na Tanzania Bara.

Tanzania ilizaliwa April 26, 1964 baada ya Tanganyika na Zanzibar kuungana.
 
Kwahyo kama kunatatizo unataka sisi tufanyaje? Kwan vijana mmekosa kazi za kufanya? Shame on you
Pamoja na kumiliki akili nyingi kuzidi wa TZ wote lakini bado unamsikiliza Mkuu wa Mkoa. Hiyo ni ishara wazi anakuzidi ufahamu pamoja na akili kubwa unakaa kitako kuvuna hekima zake.
 
Na huyo ndiyo Mteule wa Rais JPM katika Serikali yake hii ya Awamu ya Tano iliyo chini ya CCM. Sijui ana nini Kichwani mwake.
Kuna siku huwa unanifurahisha GENTA unatembeza za uso utadhani bondia wa uzito wa juu!
Huyu jamaa ni kiazi kwa kweli, lakini ukikuta anawafedhehesha wataalamu utasikia hasira. Inatia kinyaa kuwa na mteule asiye na akili
 
Kwahiyo na Wewe unakubaliana na RC Makonda kama alivyosema katika hiyo ' Promo ' yake kuhusu FIESTA leo kuwa tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara? Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu wakati anatuumba alitupa Akili nyingi akina GENTAMYCINE na wengine akawabariki na huu ' Upumbavu ' mnaouonyesha na Kuuthibitisha hapa?
Mkuu me naona humu unajidhalilisha wewe mwenyewe tu 'coz kuna vitu unachanganya bila kutambua katika zile sherehe za kihistoria;

uhuru ni wa tanganyika ndiyo yaani tanzania bara na si wa tanzania wala tanzania visiwani

Mapinduzi ni ya zanzibar pekee yaani tanzania visiwani na si ya tanzania wala tanzania bara

Jamhuri ni ya tanzania yaani bara na visiwani na si ya tanzania bara pekee wala si ya tanzania visiwani pekee

Kuedit yaweza kuwa kweli kunafanywa lakini siyo kwajili ya kuondoa maneno "tanganyika" na "tanzania bara"

Rekebisha kauli yako na ukiri kuwa ulikurupuka
 
Huna Akili kama huyo aliysema kuwa tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara hivyo acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
Yaani na elimu yote uliyonayo hujui kuwa TANGANYIKA na TANZANIA BARA ni kitu kimoja!!?

Nimekumbuka wewe unatoka RWANDA kwahiyo Mambo ya huku kwetu huwezi kuyajua!!
 
Huna Akili kama huyo aliysema kuwa tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara hivyo acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
Huyo jamaa anataka msaada ili aelewe nadhani jibu ulilompa sio sahihi
 
Na wewe unaona hiyo sentensi ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania bara iko sawa? Kuna tatizo kubwa nchi hii!!
Sentensi kweli siyo sahihi lakini ikirekebishwa hapo kwenye 'na' kutawekwa 'au' ni hivyo tu basi! Lakini si vile bwana genta anavyosema eti kakosea alitakiwa aseme uhuru wa tanzania bara na tanzania visiwani... hilo halipo na haliwezekani na itabidi akiri tu kuwa hajui vizuri historia au.... amekurupuka!
 
Back
Top Bottom