Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

Kama ulikuwepo vile Mkuu kuna Mtu yupo huko CMG ameonyesha huu Uzi wangu na huu ' Upuuzi ' wa RC Makonda kuwa tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara na sasa ' wanahaha ' kuifanyia ' editing ' ambapo kwa sasa neno Tanganyika silisikii wakati mwanzo nililisikia. Yawezekana sasa ' wanahaha ' kufanya ' editing ' hilo neno Tanzania Bara kwani Mkuu wa Mkoa Makonda ' amejiabisha ' mno kwa hilo ' Boko ' lake la Kufungia mwaka huu wa 2019.
Watamuita ku record upya
 
Public holiday is always celebrated on December 9th. The day celebrates the end of British rule in Tanganyika in 1961

The Zanzibar Revolution occurred in January 12, 1964

The United Republic of Tanzania was formed on 26 April 1964 as a result of the Union of Tanganyika and Zanzibar (nadhani hii ndo siku ambayo ingetiliwa mkazo zaidi kwa ajili ya umoja wetu) historia ya Tanzania usipoisoma vizuri ina changamotoo
 
Mkuu Gentamycine rejea sauti ya Bwana makonda utaujua ukweli. Mkuu wa mkoa hajakosea maana anasikika akisema, "Tanganyika au Tanzania bara". Na si hivyo ulivyo mnukuu. MYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI.
 
Gentamycine muongo. Amesema TANGANYIKA AU TANZANIA BARA. Kakosea wapi hapo sasa? Hiana hiyo......

Hata Siku moja sijawahi Kueleweka na ' Wapumbavu ' hapa Jamvini. Na hata hiyo Tanzania Bara aliyoisema sasa hivi inafanyiwa ' Editing ' na nakuomba subiri dakika 30 zijazo ukiisikia tena hiyo ' Promo ' ya Clouds fm hutolisikia hilo neno. Hata hilo neno la Tanganyika nalo limefanyiwa ' editing ' vile vile. Na ndiyo maana mapema sana nimesema kuwa ' sijakurupuka ' kuja na huu Uzi na kwamba wale Watetezi wake wenye ' Visokolokwinyo ' hakikisheni hamkai mbali na hiyo ' Promo ' ya Clouds fm kuhusu FIESTA leo ambayo inarudiwarudiwa Kupigwa kila baada ya dakika 15.
 
Tumasamehe tuu, mule ni empty.. Imagine alishindwa kupata hata D moja form 4. Aijalishi ya kiswahili au civics
 
Watamuita ku record upya

Nimedokezwa kwamba ndiyo Kitu kinachoendelea sasa. Mwanzo hilo neno Tanganyika lilisikika katika hiyo ' Promo ' na sasa hivi limeyeyuka na bila shaka hata neno Tanzania Bara nalo alilolisema tunaweza muda wowote kuanzia sasa tusilisikie tena Mkuu.
 
Makonda hajakosea. Mbona kaeleza Ukweli.

Tanganyika au Tanzania Bara.

Wewe ndio umekuwa popoma mpaka masikio yako yamesikia upuuzi wako.

Leo ndio umekupuruka.
 
Another Bashite. Hapa hatuzungumzii dhana ya hayo maneno bali kumbukizi ya uhuru wa taifa hili ambalo kabla kuzaliwa upya mwaka 1964 iliitwa tanganyiķa.

Mkuu nadhani sasa utakuwa umeamini kuwa Watanzania ' Wapumbavu / Mapopma ' tena Waandamizi kabisa bado wapo wengi kama huyo uliyemjibu na Kumuelimisha hapo. Asante mno kwa Elimu na Ufafanuzi wako Kuntu / Mujarab kabisa uliompa.
 
Makonda hajakosea. Mbona kaeleza Ukweli.

Tanganyika au Tanzania Bara.

Wewe ndio umekuwa popoma mpaka masikio yako yamesikia upuuzi wako.

Leo ndio umekupuruka.

Kwahiyo na Wewe unakubaliana na RC Makonda kama alivyosema katika hiyo ' Promo ' yake kuhusu FIESTA leo kuwa tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara? Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu wakati anatuumba alitupa Akili nyingi akina GENTAMYCINE na wengine akawabariki na huu ' Upumbavu ' mnaouonyesha na Kuuthibitisha hapa?
 
Nchi iliyopata uhuru 09/12/1961 ni Tanganyika. Tanzania haikuwepo.
 
Nchi iliyopata uhuru 09/12/1961 ni Tanganyika. Tanzania haikuwepo.

Kwahiyo nawe unakubaliana na RC Makonda au Sisi wenye Akili Timamu Wenzako au labda na Wewe umeamua Kutuzidishia ' Upopoma ' ambao tumeshausikia kuwa Kesho tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara? Nasubiri Jibu lako kwa hamu kabla sija ' Log Out ' hapa mnamo Saa 10 Kamili za Jioni tafadhali.
 
Kwahiyo nawe unakubaliana na RC Makonda au Sisi wenye Akili Timamu Wenzako au labda na Wewe umeamua Kutuzidishia ' Upopoma ' ambao tumeshausikia kuwa Kesho tarehe 9 Disemba ni Siku ya Uhuru wa Tanganyika na Tanzania Bara? Nasubiri Jibu lako kwa hamu kabla sija ' Log Out ' hapa mnamo Saa 10 Kamili za Jioni tafadhali.
Umeleta hoja nzuri sana!.. Ila kila anaecoment tofauti na wewe unammwagia mvua ya matusi!.. Tunakuheshimy hapa jukwaani kwani una mchango mkubwa hapa JF!.. Kama unaona wamekosea waelimishe ili wajue!.. Umekazana kuwaita mapopoma! Kwani usipotukana watu utapungukiwa nini!. Huwa nafatilia nyuzi zako ila umenikatisha tamaa maana nimegundua nasomaga nyuzi za mtu ambaye sio muungwana!.. Nimependa uzi wako ila ninechukizwa na lugha yako isiyo ya staha kwa watu!... Kama utaona nami nimekosea kukueleza utumie lugha nzuri, nakuruhusu nami unitukane.. Nahisi unafikiri jinsi unavyobwabwaja mitusi yako hapa basi unadhani una busara kuliko watu wengine humu!..
 
Another Bashite. Hapa hatuzungumzii dhana ya hayo maneno bali kumbukizi ya uhuru wa taifa hili ambalo kabla kuzaliwa upya mwaka 1964 iliitwa tanganyiķa.
Ahahaha! Ebu kasome vizuri historia mkuu, Uhuru ulipatikana 1964? Bure kabisa?
 
Heading yako na habari yenyewe haviendani.

Hiyo ni Mbinu ya Kiuandishi na Kihabari ambayo kwa bahati mbaya IQ yako ya ' Kukariri ' na iliyo ' Stagnant ' kama siyo ' Static ' imeshindwa ' Kung'amua ' Kitu. Kama Habari haieleweki huu Uzi ungefikia hadi hii Kurasa ya Tatu na bado Watu wanachangia? Hushangai na hujiulizi tu ni kwanini Wachangiaji wote wamenielewa na wameuelewa na umebaki tu Wewe ' Mbayu Mbayu ' Mmoja ambaye umekupa taabu Kuuelewa? Kuna Watu huwa mnanilazimisha niwe nawadharau na hata kuwajibuni hovyo kwani huwa sipendi Kupotezewa muda wangu na ' Vichwa Maji ' baadhi.
 
Huyu mleta mada yafaa kurudia kusoma historia, inavyoonekana Hadi bashite kamzidi kwa kujua historia
 
Back
Top Bottom